وَٱلسَّمَآءِ وَٱلطَّارِقِ
Wassama-i wattariq
Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!
The Nightcommer
وَٱلسَّمَآءِ وَٱلطَّارِقِ
Wassama-i wattariq
Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلطَّارِقُ
Wama adraka ma attariq
Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?
ٱلنَّجْمُ ٱلثَّاقِبُ
Annajmu aththaqib
Ni Nyota yenye mwanga mkali.
إِن كُلُّ نَفْسٍ لَّمَّا عَلَيْهَا حَافِظٌ
In kullu nafsin lamma AAalayha hafith
Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
فَلْيَنظُرِ ٱلْإِنسَـٰنُ مِمَّ خُلِقَ
Falyanthuri al-insanumimma khuliq
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
خُلِقَ مِن مَّآءٍ دَافِقٍ
Khuliqa min ma-in dafiq
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
يَخْرُجُ مِنۢ بَيْنِ ٱلصُّلْبِ وَٱلتَّرَآئِبِ
Yakhruju min bayni assulbi wattara-ib
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
إِنَّهُۥ عَلَىٰ رَجْعِهِۦ لَقَادِرٌ
Innahu AAala rajAAihi laqadir
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.
يَوْمَ تُبْلَى ٱلسَّرَآئِرُ
Yawma tubla assara-ir
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
فَمَا لَهُۥ مِن قُوَّةٍ وَلَا نَاصِرٍ
Fama lahu min quwwatin wala nasir
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلرَّجْعِ
Wassama-i thati arrajAA
Naapa kwa mbingu yenye marejeo!
وَٱلْأَرْضِ ذَاتِ ٱلصَّدْعِ
Wal-ardi thati assadAA
Na kwa ardhi inayo pasuka!
إِنَّهُۥ لَقَوْلٌ فَصْلٌ
Innahu laqawlun fasl
Hakika hii ni kauli ya kupambanua.
وَمَا هُوَ بِٱلْهَزْلِ
Wama huwa bilhazl
Wala si mzaha.
إِنَّهُمْ يَكِيدُونَ كَيْدًا
Innahum yakeedoona kayda
Hakika wao wanapanga mpango.
وَأَكِيدُ كَيْدًا
Waakeedu kayda
Na Mimi napanga mpango.
فَمَهِّلِ ٱلْكَـٰفِرِينَ أَمْهِلْهُمْ رُوَيْدًۢا
Famahhili alkafireena amhilhum ruwayda
Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.