سَبِّحِ ٱسْمَ رَبِّكَ ٱلْأَعْلَى
Sabbihi isma rabbika al-aAAla
Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,
The Most High
سَبِّحِ ٱسْمَ رَبِّكَ ٱلْأَعْلَى
Sabbihi isma rabbika al-aAAla
Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,
ٱلَّذِى خَلَقَ فَسَوَّىٰ
Allathee khalaqa fasawwa
Aliye umba, na akaweka sawa,
وَٱلَّذِى قَدَّرَ فَهَدَىٰ
Wallathee qaddara fahada
Na ambaye amekadiria na akaongoa,
وَٱلَّذِىٓ أَخْرَجَ ٱلْمَرْعَىٰ
Wallathee akhraja almarAAa
Na aliye otesha malisho,
فَجَعَلَهُۥ غُثَآءً أَحْوَىٰ
FajaAAalahu ghuthaan ahwa
Kisha akayafanya makavu, meusi.
سَنُقْرِئُكَ فَلَا تَنسَىٰٓ
Sanuqri-oka fala tansa
Tutakusomesha wala hutasahau,
إِلَّا مَا شَآءَ ٱللَّهُ ۚ إِنَّهُۥ يَعْلَمُ ٱلْجَهْرَ وَمَا يَخْفَىٰ
Illa ma shaa Allahuinnahu yaAAlamu aljahra wama yakhfa
Ila akipenda Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye anayajua yaliyo dhaahiri na yaliyo fichikana.
وَنُيَسِّرُكَ لِلْيُسْرَىٰ
Wanuyassiruka lilyusra
Na tutakusahilishia yawe mepesi.
فَذَكِّرْ إِن نَّفَعَتِ ٱلذِّكْرَىٰ
Fathakkir in nafaAAati aththikra
Basi kumbusha, kama kukumbusha kunafaa.
سَيَذَّكَّرُ مَن يَخْشَىٰ
Sayaththakkaru man yakhsha
Atakumbuka mwenye kuogopa.
وَيَتَجَنَّبُهَا ٱلْأَشْقَى
Wayatajannabuha al-ashqa
Na atajitenga mbali nayo mpotovu,
ٱلَّذِى يَصْلَى ٱلنَّارَ ٱلْكُبْرَىٰ
Allathee yasla annaraalkubra
Ambaye atauingia Moto mkubwa.
ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
Thumma la yamootu feeha walayahya
Tena humo hatakufa wala hawi hai.
قَدْ أَفْلَحَ مَن تَزَكَّىٰ
Qad aflaha man tazakka
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
وَذَكَرَ ٱسْمَ رَبِّهِۦ فَصَلَّىٰ
Wathakara isma rabbihi fasalla
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
بَلْ تُؤْثِرُونَ ٱلْحَيَوٰةَ ٱلدُّنْيَا
Bal tu/thiroona alhayata addunya
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
وَٱلْـَٔاخِرَةُ خَيْرٌ وَأَبْقَىٰٓ
Wal-akhiratu khayrun waabqa
Na Akhera ni bora na yenye kudumu zaidi.
إِنَّ هَـٰذَا لَفِى ٱلصُّحُفِ ٱلْأُولَىٰ
Inna hatha lafee assuhufial-oola
Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,
صُحُفِ إِبْرَٰهِيمَ وَمُوسَىٰ
Suhufi ibraheema wamoosa
Vitabu vya Ibrahimu na Musa.