هَلْ أَتَىٰكَ حَدِيثُ ٱلْغَـٰشِيَةِ
Hal ataka hadeethu alghashiyat
Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?
The Overwhelming
هَلْ أَتَىٰكَ حَدِيثُ ٱلْغَـٰشِيَةِ
Hal ataka hadeethu alghashiyat
Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ خَـٰشِعَةٌ
Wujoohun yawma-ithin khashiAAa
Siku hiyo nyuso zitainama,
عَامِلَةٌ نَّاصِبَةٌ
AAamilatun nasiba
Zikifanya kazi, nazo taabani.
تَصْلَىٰ نَارًا حَامِيَةً
Tasla naran hamiya
Ziingie katika Moto unao waka -
تُسْقَىٰ مِنْ عَيْنٍ ءَانِيَةٍ
Tusqa min AAaynin aniya
Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.
لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلَّا مِن ضَرِيعٍ
Laysa lahum taAAamun illamin dareeAA
Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
لَّا يُسْمِنُ وَلَا يُغْنِى مِن جُوعٍ
La yusminu wala yughnee minjooAA
Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ
Wujoohun yawma-ithin naAAima
Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
لِّسَعْيِهَا رَاضِيَةٌ
LisaAAyiha radiya
Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,
فِى جَنَّةٍ عَالِيَةٍ
Fee jannatin AAaliya
Katika Bustani ya juu.
لَّا تَسْمَعُ فِيهَا لَـٰغِيَةً
La tasmaAAu feeha laghiya
Hawatasikia humo upuuzi.
فِيهَا عَيْنٌ جَارِيَةٌ
Feeha AAaynun jariya
Humo imo chemchem inayo miminika.
فِيهَا سُرُرٌ مَّرْفُوعَةٌ
Feeha sururun marfooAAa
Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa,
وَأَكْوَابٌ مَّوْضُوعَةٌ
Waakwabun mawdooAAa
Na bilauri zilizo pangwa,
وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌ
Wanamariqu masfoofa
Na matakia safu safu,
وَزَرَابِىُّ مَبْثُوثَةٌ
Wazarabiyyu mabthootha
Na mazulia yaliyo tandikwa.
أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى ٱلْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ
Afala yanthuroona ilaal-ibili kayfa khuliqat
Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
وَإِلَى ٱلسَّمَآءِ كَيْفَ رُفِعَتْ
Wa-ila assama-i kayfarufiAAat
Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?
وَإِلَى ٱلْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْ
Wa-ila aljibali kayfa nusibat
Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?
وَإِلَى ٱلْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ
Wa-ila al-ardi kayfa sutihat
Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?
فَذَكِّرْ إِنَّمَآ أَنتَ مُذَكِّرٌ
Fathakkir innama anta muthakkir
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
لَّسْتَ عَلَيْهِم بِمُصَيْطِرٍ
Lasta AAalayhim bimusaytir
Wewe si mwenye kuwatawalia.
إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ
Illa man tawalla wakafar
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,
فَيُعَذِّبُهُ ٱللَّهُ ٱلْعَذَابَ ٱلْأَكْبَرَ
FayuAAaththibuhu Allahu alAAathabaal-akbar
Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!
إِنَّ إِلَيْنَآ إِيَابَهُمْ
Inna ilayna iyabahum
Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا حِسَابَهُم
Thumma inna AAalayna hisabahum
Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!