وَيْلٌ لِّلْمُطَفِّفِينَ
Waylun lilmutaffifeen
Ole wao hao wapunjao!
The Defrauding
وَيْلٌ لِّلْمُطَفِّفِينَ
Waylun lilmutaffifeen
Ole wao hao wapunjao!
ٱلَّذِينَ إِذَا ٱكْتَالُوا۟ عَلَى ٱلنَّاسِ يَسْتَوْفُونَ
Allatheena itha iktalooAAala annasi yastawfoon
Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
وَإِذَا كَالُوهُمْ أَو وَّزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ
Wa-itha kaloohum aw wazanoohumyukhsiroon
Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
أَلَا يَظُنُّ أُو۟لَـٰٓئِكَ أَنَّهُم مَّبْعُوثُونَ
Ala yathunnu ola-ikaannahum mabAAoothoon
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
لِيَوْمٍ عَظِيمٍ
Liyawmin AAatheem
Katika Siku iliyo kuu,
يَوْمَ يَقُومُ ٱلنَّاسُ لِرَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ
Yawma yaqoomu annasu lirabbialAAalameen
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
كَلَّآ إِنَّ كِتَـٰبَ ٱلْفُجَّارِ لَفِى سِجِّينٍ
Kalla inna kitaba alfujjarilafee sijjeen
Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا سِجِّينٌ
Wama adraka ma sijjeen
Unajua nini Sijjin?
كِتَـٰبٌ مَّرْقُومٌ
Kitabun marqoom
Kitabu kilicho andikwa.
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
ٱلَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ ٱلدِّينِ
Allatheena yukaththiboonabiyawmi addeen
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِۦٓ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Wama yukaththibu bihi illakullu muAAtadin atheem
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ ءَايَـٰتُنَا قَالَ أَسَـٰطِيرُ ٱلْأَوَّلِينَ
Itha tutla AAalayhi ayatunaqala asateeru al-awwaleen
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا۟ يَكْسِبُونَ
Kalla bal rana AAalaquloobihim ma kanoo yaksiboon
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
كَلَّآ إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
Kalla innahum AAan rabbihim yawma-ithinlamahjooboon
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُوا۟ ٱلْجَحِيمِ
Thumma innahum lasaloo aljaheem
Kisha wataingia Motoni!
ثُمَّ يُقَالُ هَـٰذَا ٱلَّذِى كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ
Thumma yuqalu hatha allatheekuntum bihi tukaththiboon
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
كَلَّآ إِنَّ كِتَـٰبَ ٱلْأَبْرَارِ لَفِى عِلِّيِّينَ
Kalla inna kitaba al-abrarilafee AAilliyyeen
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا عِلِّيُّونَ
Wama adraka maAAilliyyoon
Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
كِتَـٰبٌ مَّرْقُومٌ
Kitabun marqoom
Kitabu kilicho andikwa.
يَشْهَدُهُ ٱلْمُقَرَّبُونَ
Yashhaduhu almuqarraboon
Wanakishuhudia walio karibishwa.
إِنَّ ٱلْأَبْرَارَ لَفِى نَعِيمٍ
Inna al-abrara lafee naAAeem
Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
عَلَى ٱلْأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ
AAala al-ara-iki yanthuroon
Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
تَعْرِفُ فِى وُجُوهِهِمْ نَضْرَةَ ٱلنَّعِيمِ
TaAArifu fee wujoohihim nadrata annaAAeem
Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,
يُسْقَوْنَ مِن رَّحِيقٍ مَّخْتُومٍ
Yusqawna min raheeqin makhtoom
Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
خِتَـٰمُهُۥ مِسْكٌ ۚ وَفِى ذَٰلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ ٱلْمُتَنَـٰفِسُونَ
Khitamuhu miskun wafee thalikafalyatanafasi almutanafisoon
Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
وَمِزَاجُهُۥ مِن تَسْنِيمٍ
Wamizajuhu min tasneem
Na mchanganyiko wake ni Tasniim,
عَيْنًا يَشْرَبُ بِهَا ٱلْمُقَرَّبُونَ
AAaynan yashrabu biha almuqarraboon
Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
إِنَّ ٱلَّذِينَ أَجْرَمُوا۟ كَانُوا۟ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ يَضْحَكُونَ
Inna allatheena ajramoo kanoomina allatheena amanoo yadhakoon
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
وَإِذَا مَرُّوا۟ بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ
Wa-itha marroo bihim yataghamazoon
Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
وَإِذَا ٱنقَلَبُوٓا۟ إِلَىٰٓ أَهْلِهِمُ ٱنقَلَبُوا۟ فَكِهِينَ
Wa-itha inqalaboo ila ahlihimuinqalaboo fakiheen
Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوٓا۟ إِنَّ هَـٰٓؤُلَآءِ لَضَآلُّونَ
Wa-itha raawhum qaloo inna haola-iladalloon
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
وَمَآ أُرْسِلُوا۟ عَلَيْهِمْ حَـٰفِظِينَ
Wama orsiloo AAalayhim hafitheen
Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.
فَٱلْيَوْمَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ مِنَ ٱلْكُفَّارِ يَضْحَكُونَ
Falyawma allatheena amanoomina alkuffari yadhakoon
Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
عَلَى ٱلْأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ
AAala al-ara-iki yanthuroon
Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
هَلْ ثُوِّبَ ٱلْكُفَّارُ مَا كَانُوا۟ يَفْعَلُونَ
Hal thuwwiba alkuffaru ma kanooyafAAaloon
Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?