إِذَا ٱلسَّمَآءُ ٱنشَقَّتْ
Itha assamao inshaqqat
Itapo chanika mbingu,
The Sundering
إِذَا ٱلسَّمَآءُ ٱنشَقَّتْ
Itha assamao inshaqqat
Itapo chanika mbingu,
وَأَذِنَتْ لِرَبِّهَا وَحُقَّتْ
Waathinat lirabbiha wahuqqat
Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
وَإِذَا ٱلْأَرْضُ مُدَّتْ
Wa-itha al-ardu muddat
Na ardhi itakapo tanuliwa,
وَأَلْقَتْ مَا فِيهَا وَتَخَلَّتْ
Waalqat ma feeha watakhallat
Na kuvitoa vilivyo kuwa ndani yake, ikawa tupu,
وَأَذِنَتْ لِرَبِّهَا وَحُقَّتْ
Waathinat lirabbiha wahuqqat
Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلْإِنسَـٰنُ إِنَّكَ كَادِحٌ إِلَىٰ رَبِّكَ كَدْحًا فَمُلَـٰقِيهِ
Ya ayyuha al-insanuinnaka kadihun ila rabbika kadhanfamulaqeeh
Ewe mtu! Hakika wewe unajikusuru kwa juhudi kumwendea Mola wako Mlezi, basi utamkuta.
فَأَمَّا مَنْ أُوتِىَ كِتَـٰبَهُۥ بِيَمِينِهِۦ
Faama man ootiya kitabahubiyameenih
Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,
فَسَوْفَ يُحَاسَبُ حِسَابًا يَسِيرًا
Fasawfa yuhasabu hisabanyaseera
Basi huyo atahisabiwa hisabu nyepesi,
وَيَنقَلِبُ إِلَىٰٓ أَهْلِهِۦ مَسْرُورًا
Wayanqalibu ila ahlihi masroora
Na arudi kwa ahali zake na furaha.
وَأَمَّا مَنْ أُوتِىَ كِتَـٰبَهُۥ وَرَآءَ ظَهْرِهِۦ
Waamma man ootiya kitabahu waraathahrih
Na ama atakaye pewa daftari lake kwa nyuma ya mgongo wake,
فَسَوْفَ يَدْعُوا۟ ثُبُورًا
Fasawfa yadAAoo thuboora
Basi huyo ataomba kuteketea.
وَيَصْلَىٰ سَعِيرًا
Wayasla saAAeera
Na ataingia Motoni.
إِنَّهُۥ كَانَ فِىٓ أَهْلِهِۦ مَسْرُورًا
Innahu kana fee ahlihi masroora
Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
إِنَّهُۥ ظَنَّ أَن لَّن يَحُورَ
Innahu thanna an lan yahoor
Huyo hakika alidhani kuwa hatarejea tena.
بَلَىٰٓ إِنَّ رَبَّهُۥ كَانَ بِهِۦ بَصِيرًا
Bala inna rabbahu kana bihi baseera
Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
فَلَآ أُقْسِمُ بِٱلشَّفَقِ
Fala oqsimu bishshafaq
Basi ninaapa kwa wekundu wa jua linapo kuchwa,
وَٱلَّيْلِ وَمَا وَسَقَ
Wallayli wama wasaq
Na kwa usiku na unavyo vikusanya,
وَٱلْقَمَرِ إِذَا ٱتَّسَقَ
Walqamari itha ittasaq
Na kwa mwezi unapo pevuka,
لَتَرْكَبُنَّ طَبَقًا عَن طَبَقٍ
Latarkabunna tabaqan AAan tabaq
Lazima mtapanda t'abaka kwa t'abaka!
فَمَا لَهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
Fama lahum la yu/minoon
Basi wana nini hawaamini?
وَإِذَا قُرِئَ عَلَيْهِمُ ٱلْقُرْءَانُ لَا يَسْجُدُونَ ۩
Wa-itha quri-a AAalayhimu alqur-anula yasjudoon
Na wanapo somewa Qur'ani hawasujudu?
بَلِ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ يُكَذِّبُونَ
Bali allatheena kafaroo yukaththiboon
Bali walio kufuru wanakanusha tu.
وَٱللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا يُوعُونَ
Wallahu aAAlamu bimayooAAoon
Na Mwenyezi Mungu anajua wanayo yadhamiria.
فَبَشِّرْهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
Fabashshirhum biAAathabin aleem
Basi wabashirie adhabu chungu!
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ لَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍۭ
Illa allatheena amanoowaAAamiloo assalihati lahum ajrun ghayrumamnoon
Isipo kuwa wale walio amini na wakatenda mema; hao watakuwa na ujira usio malizika.