إِذَا ٱلسَّمَآءُ ٱنفَطَرَتْ
Itha assamao infatarat
Mbingu itapo chanika,
The Cleaving
إِذَا ٱلسَّمَآءُ ٱنفَطَرَتْ
Itha assamao infatarat
Mbingu itapo chanika,
وَإِذَا ٱلْكَوَاكِبُ ٱنتَثَرَتْ
Wa-itha alkawakibu intatharat
Na nyota zitapo tawanyika,
وَإِذَا ٱلْبِحَارُ فُجِّرَتْ
Wa-itha albiharu fujjirat
Na bahari zitakapo pasuliwa,
وَإِذَا ٱلْقُبُورُ بُعْثِرَتْ
Wa-itha alqubooru buAAthirat
Na makaburi yatapo fukuliwa,
عَلِمَتْ نَفْسٌ مَّا قَدَّمَتْ وَأَخَّرَتْ
AAalimat nafsun ma qaddamatwaakhkharat
Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلْإِنسَـٰنُ مَا غَرَّكَ بِرَبِّكَ ٱلْكَرِيمِ
Ya ayyuha al-insanu magharraka birabbika alkareem
Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?
ٱلَّذِى خَلَقَكَ فَسَوَّىٰكَ فَعَدَلَكَ
Allathee khalaqaka fasawwakafaAAadalak
Aliye kuumba, akakuweka sawa, akakunyoosha,
فِىٓ أَىِّ صُورَةٍ مَّا شَآءَ رَكَّبَكَ
Fee ayyi sooratin ma shaarakkabak
Katika sura yoyote aliyo ipenda akakujenga.
كَلَّا بَلْ تُكَذِّبُونَ بِٱلدِّينِ
Kalla bal tukaththiboona biddeen
Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo.
وَإِنَّ عَلَيْكُمْ لَحَـٰفِظِينَ
Wa-inna AAalaykum lahafitheen
Na hakika bila ya shaka wapo walinzi juu yenu,
كِرَامًا كَـٰتِبِينَ
Kiraman katibeen
Waandishi wenye hishima,
يَعْلَمُونَ مَا تَفْعَلُونَ
YaAAlamoona ma tafAAaloon
Wanayajua mnayo yatenda.
إِنَّ ٱلْأَبْرَارَ لَفِى نَعِيمٍ
Inna al-abrara lafee naAAeem
Hakika wema bila ya shaka watakuwa katika neema,
وَإِنَّ ٱلْفُجَّارَ لَفِى جَحِيمٍ
Wa-inna alfujjara lafee jaheem
Na hakika waovu bila ya shaka watakuwa Motoni;
يَصْلَوْنَهَا يَوْمَ ٱلدِّينِ
Yaslawnaha yawma addeen
Wataingia humo Siku ya Malipo.
وَمَا هُمْ عَنْهَا بِغَآئِبِينَ
Wama hum AAanha bigha-ibeen
Na hawatoacha kuwamo humo.
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا يَوْمُ ٱلدِّينِ
Wama adraka ma yawmu addeeni
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
ثُمَّ مَآ أَدْرَىٰكَ مَا يَوْمُ ٱلدِّينِ
Thumma ma adraka mayawmu addeen
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
يَوْمَ لَا تَمْلِكُ نَفْسٌ لِّنَفْسٍ شَيْـًٔا ۖ وَٱلْأَمْرُ يَوْمَئِذٍ لِّلَّهِ
Yawma la tamliku nafsun linafsinshay-an wal-amru yawma-ithin lillah
Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.