وَٱلْعَـٰدِيَـٰتِ ضَبْحًا
WalAAadiyati dabha
Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,
The Courser
وَٱلْعَـٰدِيَـٰتِ ضَبْحًا
WalAAadiyati dabha
Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,
فَٱلْمُورِيَـٰتِ قَدْحًا
Falmooriyati qadha
Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
فَٱلْمُغِيرَٰتِ صُبْحًا
Falmugheerati subha
Wakishambulia wakati wa asubuhi,
فَأَثَرْنَ بِهِۦ نَقْعًا
Faatharna bihi naqAAa
Huku wakitimua vumbi,
فَوَسَطْنَ بِهِۦ جَمْعًا
Fawasatna bihi jamAAa
Na wakijitoma kati ya kundi,
إِنَّ ٱلْإِنسَـٰنَ لِرَبِّهِۦ لَكَنُودٌ
Inna al-insana lirabbihi lakanood
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
وَإِنَّهُۥ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ
Wa-innahu AAala thalikalashaheed
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
وَإِنَّهُۥ لِحُبِّ ٱلْخَيْرِ لَشَدِيدٌ
Wa-innahu lihubbi alkhayri lashadeed
Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
۞ أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِى ٱلْقُبُورِ
Afala yaAAlamu itha buAAthira mafee alquboor
Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?
وَحُصِّلَ مَا فِى ٱلصُّدُورِ
Wahussila ma fee assudoor
Na yakakusanywa yaliomo vifuani?
إِنَّ رَبَّهُم بِهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّخَبِيرٌۢ
Inna rabbahum bihim yawma-ithinlakhabeer
Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!