ٱلْقَارِعَةُ
AlqariAAa
Inayo gonga!
The Calamity
ٱلْقَارِعَةُ
AlqariAAa
Inayo gonga!
مَا ٱلْقَارِعَةُ
Ma alqariAAa
Nini Inayo gonga?
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ
Wama adraka ma alqariAAa
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
يَوْمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلْفَرَاشِ ٱلْمَبْثُوثِ
Yawma yakoonu annasu kalfarashialmabthooth
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
وَتَكُونُ ٱلْجِبَالُ كَٱلْعِهْنِ ٱلْمَنفُوشِ
Watakoonu aljibalu kalAAihnialmanfoosh
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَٰزِينُهُۥ
Faamma man thaqulat mawazeenuh
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
فَهُوَ فِى عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ
Fahuwa fee AAeeshatin radiya
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَٰزِينُهُۥ
Waamma man khaffat mawazeenuh
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٌ
Faommuhu hawiya
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا هِيَهْ
Wama adraka ma hiya
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
نَارٌ حَامِيَةٌۢ
Narun hamiya
Ni Moto mkali!