وَٱلتِّينِ وَٱلزَّيْتُونِ
Watteeni wazzaytoon
Naapa kwa tini na zaituni!
The Fig
وَٱلتِّينِ وَٱلزَّيْتُونِ
Watteeni wazzaytoon
Naapa kwa tini na zaituni!
وَطُورِ سِينِينَ
Watoori seeneen
Na kwa Mlima wa Sinai!
وَهَـٰذَا ٱلْبَلَدِ ٱلْأَمِينِ
Wahatha albaladi al-ameen
Na kwa mji huu wenye amani!
لَقَدْ خَلَقْنَا ٱلْإِنسَـٰنَ فِىٓ أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ
Laqad khalaqna al-insana fee ahsanitaqweem
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
ثُمَّ رَدَدْنَـٰهُ أَسْفَلَ سَـٰفِلِينَ
Thumma radadnahu asfala safileen
Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ
Illa allatheena amanoowaAAamiloo assalihati falahum ajrun ghayrumamnoon
Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِٱلدِّينِ
Fama yukaththibuka baAAdu biddeen
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
أَلَيْسَ ٱللَّهُ بِأَحْكَمِ ٱلْحَـٰكِمِينَ
Alaysa Allahu bi-ahkami alhakimeen
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?