وَٱلْمُرْسَلَـٰتِ عُرْفًا
Walmursalati AAurfa
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
The Emissaries
وَٱلْمُرْسَلَـٰتِ عُرْفًا
Walmursalati AAurfa
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
فَٱلْعَـٰصِفَـٰتِ عَصْفًا
FalAAasifati AAasfa
Na zinazo vuma kwa kasi!
وَٱلنَّـٰشِرَٰتِ نَشْرًا
Wannashirati nashra
Na zikaeneza maeneo yote!
فَٱلْفَـٰرِقَـٰتِ فَرْقًا
Falfariqati farqa
Na zinazo farikisha zikatawanya!
فَٱلْمُلْقِيَـٰتِ ذِكْرًا
Falmulqiyati thikra
Na zinazo peleka mawaidha!
عُذْرًا أَوْ نُذْرًا
AAuthran aw nuthra
Kwa kuudhuru au kuonya,
إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَوَٰقِعٌ
Innama tooAAadoona lawaqiAA
Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka yatakuwa!
فَإِذَا ٱلنُّجُومُ طُمِسَتْ
Fa-itha annujoomu tumisat
Wakati nyota zitakapo futwa,
وَإِذَا ٱلسَّمَآءُ فُرِجَتْ
Wa-itha assamao furijat
Na mbingu zitakapo pasuliwa,
وَإِذَا ٱلْجِبَالُ نُسِفَتْ
Wa-itha aljibalu nusifat
Na milima itakapo peperushwa,
وَإِذَا ٱلرُّسُلُ أُقِّتَتْ
Wa-itha arrusulu oqqitat
Na Mitume watakapo wekewa wakati wao,
لِأَىِّ يَوْمٍ أُجِّلَتْ
Li-ayyi yawmin ojjilat
Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo?
لِيَوْمِ ٱلْفَصْلِ
Liyawmi alfasl
Kwa siku ya kupambanua!
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا يَوْمُ ٱلْفَصْلِ
Wama adraka ma yawmualfasl
Na nini kitakacho kujuulisha siku ya kupambanua ni nini?
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao, siku hiyo hao wanao kanusha!
أَلَمْ نُهْلِكِ ٱلْأَوَّلِينَ
Alam nuhliki al-awwaleen
Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
ثُمَّ نُتْبِعُهُمُ ٱلْـَٔاخِرِينَ
Thumma nutbiAAuhumu al-akhireen
Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?
كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِٱلْمُجْرِمِينَ
Kathalika nafAAalu bilmujrimeen
Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
أَلَمْ نَخْلُقكُّم مِّن مَّآءٍ مَّهِينٍ
Alam nakhluqkum min ma-in maheen
Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?
فَجَعَلْنَـٰهُ فِى قَرَارٍ مَّكِينٍ
FajaAAalnahu fee qararinmakeen
Kisha tukayaweka mahali pa utulivu madhubuti?
إِلَىٰ قَدَرٍ مَّعْلُومٍ
Ila qadarin maAAloom
Mpaka muda maalumu?
فَقَدَرْنَا فَنِعْمَ ٱلْقَـٰدِرُونَ
Faqadarna faniAAma alqadiroon
Tukakadiria na Sisi ni wabora wa kukadiria.
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
أَلَمْ نَجْعَلِ ٱلْأَرْضَ كِفَاتًا
Alam najAAali al-arda kifata
Kwani hatukuifanya ardhi yenye kukusanya
أَحْيَآءً وَأَمْوَٰتًا
Ahyaan waamwata
Walio hai na maiti?
وَجَعَلْنَا فِيهَا رَوَٰسِىَ شَـٰمِخَـٰتٍ وَأَسْقَيْنَـٰكُم مَّآءً فُرَاتًا
WajaAAalna feeha rawasiyashamikhatin waasqaynakum maan furata
Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tunakunywesheni maji matamu?
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
ٱنطَلِقُوٓا۟ إِلَىٰ مَا كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ
Intaliqoo ila ma kuntumbihi tukaththiboon
Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
ٱنطَلِقُوٓا۟ إِلَىٰ ظِلٍّ ذِى ثَلَـٰثِ شُعَبٍ
Intaliqoo ila thillinthee thalathi shuAAab
Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
لَّا ظَلِيلٍ وَلَا يُغْنِى مِنَ ٱللَّهَبِ
La thaleelin walayughnee mina allahab
Hakikingi moto, wala hakiwaepushi na mwako.
إِنَّهَا تَرْمِى بِشَرَرٍ كَٱلْقَصْرِ
Innaha tarmee bishararin kalqasr
Hakika Moto huo unatoa macheche kama majumba!
كَأَنَّهُۥ جِمَـٰلَتٌ صُفْرٌ
Kaannahu jimalatun sufr
Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano!
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
هَـٰذَا يَوْمُ لَا يَنطِقُونَ
Hatha yawmu la yantiqoon
Hii ni siku ambayo hawatatamka kitu,
وَلَا يُؤْذَنُ لَهُمْ فَيَعْتَذِرُونَ
Wala yu/thanu lahum fayaAAtathiroon
Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
هَـٰذَا يَوْمُ ٱلْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَـٰكُمْ وَٱلْأَوَّلِينَ
Hatha yawmu alfasli jamaAAnakumwal-awwaleen
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.
فَإِن كَانَ لَكُمْ كَيْدٌ فَكِيدُونِ
Fa-in kana lakum kaydun fakeedoon
Ikiwa mnayo hila, nifanyieni hila Mimi!
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
إِنَّ ٱلْمُتَّقِينَ فِى ظِلَـٰلٍ وَعُيُونٍ
Inna almuttaqeena fee thilalinwaAAuyoon
Hakika wachamngu watakuwa katika vivuli na chemchem,
وَفَوَٰكِهَ مِمَّا يَشْتَهُونَ
Wafawakiha mimma yashtahoon
Na matunda wanayo yapenda,
كُلُوا۟ وَٱشْرَبُوا۟ هَنِيٓـًٔۢا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Kuloo washraboo hanee-an bimakuntum taAAmaloon
Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِى ٱلْمُحْسِنِينَ
Inna kathalika najzee almuhsineen
Hakika ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema.
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
كُلُوا۟ وَتَمَتَّعُوا۟ قَلِيلًا إِنَّكُم مُّجْرِمُونَ
Kuloo watamattaAAoo qaleelan innakummujrimoon
Kuleni na mjifurahishe kidogo tu. Hakika nyinyi ni wakosefu!
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ ٱرْكَعُوا۟ لَا يَرْكَعُونَ
Wa-itha qeela lahumu irkaAAoo layarkaAAoon
Na wakiambiwa: Inameni! Hawainami.
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
فَبِأَىِّ حَدِيثٍۭ بَعْدَهُۥ يُؤْمِنُونَ
Fabi-ayyi hadeethin baAAdahuyu/minoon
Basi maneno gani baada ya haya watayaamini?