MyAwqat
EnglishEnglish
Arabicالعربية
Malayalamമലയാളം
Urduاردو
Hindiहिन्दी
Bengaliবাংলা
Tamilதமிழ்
Teluguతెలుగు
Chinese中文
Japanese日本語
Korean한국어
RussianРусский
FrenchFrançais
TurkishTürkçe
MalayBahasa Melayu
IndonesianIndonesia
SomaliSoomaali
GermanDeutsch
SpanishEspañol
PortuguesePortuguês
SwahiliKiswahili
Thaiไทย
Persianفارسی
Hebrewעברית
Kurdishکوردی
HausaHausa
Amharicአማርኛ
Gujaratiગુજરાતી
Kannadaಕನ್ನಡ
Pashtoپښتو
ItalianItaliano
26

Surah Ash-Shu'ara

الشعراء

The Poets

227 verses · Makkiyah · Revelation order 47

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ
26:1

طسٓمٓ

Ta-seen-meem

T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)

Tafsir Al-Muyassar: (طسم) سبق الكلام على الحروف المقطعة في أول سورة البقرة.
26:2

تِلْكَ ءَايَـٰتُ ٱلْكِتَـٰبِ ٱلْمُبِينِ

Tilka ayatu alkitabialmubeen

Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.

Tafsir Al-Muyassar: هذه آيات القرآن الموضِّح لكل شيء الفاصل بين الهدى والضلال.
26:3

لَعَلَّكَ بَـٰخِعٌ نَّفْسَكَ أَلَّا يَكُونُوا۟ مُؤْمِنِينَ

LaAAallaka bakhiAAun nafsaka allayakoonoo mu/mineen

Huenda labda ukajikera nafsi yako kwa kuwa hawawi Waumini.

Tafsir Al-Muyassar: لعلك - أيها الرسول - من شدة حرصك على هدايتهم مُهْلِك نفسك؛ لأنهم لم يصدِّقوا بك ولم يعملوا بهديك، فلا تفعل ذلك.
26:4

إِن نَّشَأْ نُنَزِّلْ عَلَيْهِم مِّنَ ٱلسَّمَآءِ ءَايَةً فَظَلَّتْ أَعْنَـٰقُهُمْ لَهَا خَـٰضِعِينَ

In nasha/ nunazzil AAalayhim mina assama-iayatan fathallat aAAnaquhum lahakhadiAAeen

Tunge penda tungeli wateremshia kutoka mbinguni Ishara zikanyenyekea shingo zao.

Tafsir Al-Muyassar: إن نشأ ننزل على المكذبين من قومك من السماء معجزة مخوِّفة لهم تلجئهم إلى الإيمان، فتصير أعناقهم خاضعة ذليلة، ولكننا لم نشأ ذلك; فإن الإيمان النافع هو الإيمان بالغيب اختيارًا.
26:5

وَمَا يَأْتِيهِم مِّن ذِكْرٍ مِّنَ ٱلرَّحْمَـٰنِ مُحْدَثٍ إِلَّا كَانُوا۟ عَنْهُ مُعْرِضِينَ

Wama ya/teehim min thikrin minaarrahmani muhdathin illa kanooAAanhu muAArideen

Wala hauwafikii ukumbusho mpya kutoka kwa Arrahman ila wao hujitenga nao.

Tafsir Al-Muyassar: وما يجيء هؤلاء المشركين المكذبين مِن ذِكْرٍ من الرحمن مُحْدَث إنزاله، شيئًا بعد شيء، يأمرهم وينهاهم، ويذكرهم بالدين الحق إلا أعرضوا عنه، ولم يقبلوه.
26:6

فَقَدْ كَذَّبُوا۟ فَسَيَأْتِيهِمْ أَنۢبَـٰٓؤُا۟ مَا كَانُوا۟ بِهِۦ يَسْتَهْزِءُونَ

Faqad kaththaboo fasaya/teehim anbaoma kanoo bihi yastahzi-oon

Kwa yakini wamekanusha; kwa hivyo zitakuja wafikia khabari za yale waliyo kuwa wakiyafanyia mzaha.

Tafsir Al-Muyassar: فقد كذَّبوا بالقرآن واستهزؤوا به، فسيأتيهم أخبار الأمر الذي كانوا يستهزئون به ويسخرون منه، وسيحلُّ بهم العذاب جزاء تمردهم على ربهم.
26:7

أَوَلَمْ يَرَوْا۟ إِلَى ٱلْأَرْضِ كَمْ أَنۢبَتْنَا فِيهَا مِن كُلِّ زَوْجٍ كَرِيمٍ

Awa lam yaraw ila al-ardi kamanbatna feeha min kulli zawjin kareem

Je! Hawakuiona ardhi, mimea mingapi tumeiotesha humo, ya kila namna nzuri?

Tafsir Al-Muyassar: أكذبوا ولم ينظروا إلى الأرض التي أنبتنا فيها من كل نوع حسن نافع من النبات، لا يقدر على إنباته إلا رب العالمين؟ إن في إخراج النبات من الأرض لَدلالة واضحة على كمال قدرة الله، وما كان أكثر القوم مؤمنين. وإن ربك لهو العزيز على كل مخلوق، الرحيم الذي وسعت رحمته كل شيء.
26:8

إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ

Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Hakika katika haya zipo Ishara. Lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.

Tafsir Al-Muyassar: واذكر - أيها الرسول - لقومك إذ نادى ربك موسى: أن ائت القوم الظالمين، قوم فرعون، وقل لهم: ألا يخافون عقاب الله تعالى، ويتركون ما هم عليه من الكفر والضلال؟
26:9

وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Tafsir Al-Muyassar: قال موسى: رب إني أخاف أن يكذبوني في الرسالة، ويملأ صدري الغمُّ لتكذيبهم إياي، ولا ينطلق لساني بالدعوة فأرسِلْ جبريل بالوحي إلى أخي هارون؛ ليعاونني ويصدقني فيما أقول، ويبين لهم ما أخاطبهم به، فهو أفصح مني نطقاً. ولهم علي ذنب في قتل رجل منهم، وهو القبطي، فأخاف أن يقتلوني به.
26:10

وَإِذْ نَادَىٰ رَبُّكَ مُوسَىٰٓ أَنِ ٱئْتِ ٱلْقَوْمَ ٱلظَّـٰلِمِينَ

Wa-ith nada rabbukamoosa ani i/ti alqawma aththalimeen

Na Mola wako Mlezi, alipo mwita Musa, akamwambia: Fika kwa watu madhaalimu,

Tafsir Al-Muyassar: قال موسى: رب إني أخاف أن يكذبوني في الرسالة، ويملأ صدري الغمُّ لتكذيبهم إياي، ولا ينطلق لساني بالدعوة فأرسِلْ جبريل بالوحي إلى أخي هارون؛ ليعاونني. ولهم علي ذنب في قتل رجل منهم، وهو القبطي، فأخاف أن يقتلوني به.
26:11

قَوْمَ فِرْعَوْنَ ۚ أَلَا يَتَّقُونَ

Qawma firAAawna ala yattaqoon

Watu wa Firauni. Hawaogopi?

26:12

قَالَ رَبِّ إِنِّىٓ أَخَافُ أَن يُكَذِّبُونِ

Qala rabbi innee akhafu anyukaththiboon

Akasema: Hakika mimi nachelea wasinikanushe.

26:13

وَيَضِيقُ صَدْرِى وَلَا يَنطَلِقُ لِسَانِى فَأَرْسِلْ إِلَىٰ هَـٰرُونَ

Wayadeequ sadree walayantaliqu lisanee faarsil ila haroon

Na kifua changu kina dhiki, na ulimi wangu haukunjuki vyema. Basi mtumie ujumbe Harun.

26:14

وَلَهُمْ عَلَىَّ ذَنۢبٌ فَأَخَافُ أَن يَقْتُلُونِ

Walahum AAalayya thanbun faakhafuan yaqtuloon

Na wao wana kisasi juu yangu, kwa hivyo naogopa wasije kuniuwa.

26:15

قَالَ كَلَّا ۖ فَٱذْهَبَا بِـَٔايَـٰتِنَآ ۖ إِنَّا مَعَكُم مُّسْتَمِعُونَ

Qala kalla fathhababi-ayatina inna maAAakum mustamiAAoon

Akasema: Siyo hivyo kabisa! Nendeni na miujiza yetu. Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza.

26:16

فَأْتِيَا فِرْعَوْنَ فَقُولَآ إِنَّا رَسُولُ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Fa/tiya firAAawna faqoola innarasoolu rabbi alAAalameen

Basi mfikieni Firauni na mwambieni: Hakika sisi ni Mitume wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:17

أَنْ أَرْسِلْ مَعَنَا بَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ

An arsil maAAana banee isra-eel

Waachilie Wana wa Israili wende nasi.

26:18

قَالَ أَلَمْ نُرَبِّكَ فِينَا وَلِيدًا وَلَبِثْتَ فِينَا مِنْ عُمُرِكَ سِنِينَ

Qala alam nurabbika feenawaleedan walabithta feena min AAumurika sineen

(Firauni) akasema: Sisi hatukukulea wewe utotoni, na ukakaa kwetu katika umri wako miaka mingi?

26:19

وَفَعَلْتَ فَعْلَتَكَ ٱلَّتِى فَعَلْتَ وَأَنتَ مِنَ ٱلْكَـٰفِرِينَ

WafaAAalta faAAlataka allatee faAAaltawaanta mina alkafireen

Na ukatenda kitendo chako ulicho tenda, nawe ukawa miongoni mwa wasio na shukrani?

26:20

قَالَ فَعَلْتُهَآ إِذًا وَأَنَا۠ مِنَ ٱلضَّآلِّينَ

Qala faAAaltuha ithanwaana mina addalleen

(Musa) akasema: Nilitenda hayo hapo nilipo kuwa miongoni mwa wale walio potea.

26:21

فَفَرَرْتُ مِنكُمْ لَمَّا خِفْتُكُمْ فَوَهَبَ لِى رَبِّى حُكْمًا وَجَعَلَنِى مِنَ ٱلْمُرْسَلِينَ

Fafarartu minkum lamma khiftukumfawahaba lee rabbee hukman wajaAAalanee mina almursaleen

Basi nikakukimbieni nilipo kuogopeni, tena Mola wangu Mlezi akanitunukia hukumu, na akanijaalia niwe miongoni mwa Mitume.

26:22

وَتِلْكَ نِعْمَةٌ تَمُنُّهَا عَلَىَّ أَنْ عَبَّدتَّ بَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ

Watilka niAAmatun tamunnuha AAalayyaan AAabbadta banee isra-eel

Na hiyo ndiyo neema ya kunisumbulia, na wewe umewatia utumwani Wana wa Israili?

26:23

قَالَ فِرْعَوْنُ وَمَا رَبُّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Qala firAAawnu wama rabbu alAAalameen

Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote?

26:24

قَالَ رَبُّ ٱلسَّمَـٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَآ ۖ إِن كُنتُم مُّوقِنِينَ

Qala rabbu assamawatiwal-ardi wama baynahuma in kuntummooqineen

Akasema: Ndiye Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi ni wenye yakini.

26:25

قَالَ لِمَنْ حَوْلَهُۥٓ أَلَا تَسْتَمِعُونَ

Qala liman hawlahu alatastamiAAoon

(Firauni) akawaambia walio mzunguka: Hamsikilizi?

26:26

قَالَ رَبُّكُمْ وَرَبُّ ءَابَآئِكُمُ ٱلْأَوَّلِينَ

Qala rabbukum warabbu aba-ikumual-awwaleen

(Musa) akasema: Ndiye Mola wenu Mlezi, na Mola Mlezi wa baba zenu wa kwanza.

26:27

قَالَ إِنَّ رَسُولَكُمُ ٱلَّذِىٓ أُرْسِلَ إِلَيْكُمْ لَمَجْنُونٌ

Qala inna rasoolakumu allatheeorsila ilaykum lamajnoon

(Firauni) akasema: Hakika huyu Mtume wenu aliye tumwa kwenu ni mwendawazimu.

26:28

قَالَ رَبُّ ٱلْمَشْرِقِ وَٱلْمَغْرِبِ وَمَا بَيْنَهُمَآ ۖ إِن كُنتُمْ تَعْقِلُونَ

Qala rabbu almashriqi walmaghribiwama baynahuma in kuntum taAAqiloon

(Musa) akasema: Ndiye Mola Mlezi wa Mashariki na Magharibi na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi mnatia akilini.

26:29

قَالَ لَئِنِ ٱتَّخَذْتَ إِلَـٰهًا غَيْرِى لَأَجْعَلَنَّكَ مِنَ ٱلْمَسْجُونِينَ

Qala la-ini ittakhathta ilahanghayree laajAAalannaka mina almasjooneen

(Firauni) akasema: Ukimfuata mungu mwengine asiye kuwa mimi, basi bila ya shaka nitakufunga gerezani.

26:30

قَالَ أَوَلَوْ جِئْتُكَ بِشَىْءٍ مُّبِينٍ

Qala awa law ji/tuka bishay-in mubeen

Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?

26:31

قَالَ فَأْتِ بِهِۦٓ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّـٰدِقِينَ

Qala fa/ti bihi in kunta mina assadiqeen

Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.

26:32

فَأَلْقَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِىَ ثُعْبَانٌ مُّبِينٌ

Faalqa AAasahu fa-ithahiya thuAAbanun mubeen

Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.

26:33

وَنَزَعَ يَدَهُۥ فَإِذَا هِىَ بَيْضَآءُ لِلنَّـٰظِرِينَ

WanazaAAa yadahu fa-itha hiya baydaolinnathireen

Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.

26:34

قَالَ لِلْمَلَإِ حَوْلَهُۥٓ إِنَّ هَـٰذَا لَسَـٰحِرٌ عَلِيمٌ

Qala lilmala-i hawlahu inna hathalasahirun AAaleem

(Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu.

26:35

يُرِيدُ أَن يُخْرِجَكُم مِّنْ أَرْضِكُم بِسِحْرِهِۦ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ

Yureedu an yukhrijakum min ardikumbisihrihi famatha ta/muroon

Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?

26:36

قَالُوٓا۟ أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَٱبْعَثْ فِى ٱلْمَدَآئِنِ حَـٰشِرِينَ

Qaloo arjih waakhahu wabAAathfee almada-ini hashireen

Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.

26:37

يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ

Ya/tooka bikulli sahharin AAaleem

Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.

26:38

فَجُمِعَ ٱلسَّحَرَةُ لِمِيقَـٰتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ

FajumiAAa assaharatu limeeqatiyawmin maAAloom

Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.

26:39

وَقِيلَ لِلنَّاسِ هَلْ أَنتُم مُّجْتَمِعُونَ

Waqeela linnasi hal antummujtamiAAoon

Na watu wakaambiwa: Je! Mtakusanyika?

26:40

لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ ٱلسَّحَرَةَ إِن كَانُوا۟ هُمُ ٱلْغَـٰلِبِينَ

LaAAallana nattabiAAu assaharatain kanoo humu alghalibeen

Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.

26:41

فَلَمَّا جَآءَ ٱلسَّحَرَةُ قَالُوا۟ لِفِرْعَوْنَ أَئِنَّ لَنَا لَأَجْرًا إِن كُنَّا نَحْنُ ٱلْغَـٰلِبِينَ

Falamma jaa assaharatuqaloo lifirAAawna a-inna lana laajran in kunnanahnu alghalibeen

Basi walipo kuja wachawi wakamwambia Firauni: Je! Tutapata ujira tukiwa sisi ndio tulio shinda?

26:42

قَالَ نَعَمْ وَإِنَّكُمْ إِذًا لَّمِنَ ٱلْمُقَرَّبِينَ

Qala naAAam wa-innakum ithanlamina almuqarrabeen

Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.

26:43

قَالَ لَهُم مُّوسَىٰٓ أَلْقُوا۟ مَآ أَنتُم مُّلْقُونَ

Qala lahum moosa alqoo maantum mulqoon

Musa akwaambia: Tupeni mnavyo taka kutupa.

26:44

فَأَلْقَوْا۟ حِبَالَهُمْ وَعِصِيَّهُمْ وَقَالُوا۟ بِعِزَّةِ فِرْعَوْنَ إِنَّا لَنَحْنُ ٱلْغَـٰلِبُونَ

Faalqaw hibalahum waAAisiyyahumwaqaloo biAAizzati firAAawna inna lanahnualghaliboon

Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.

26:45

فَأَلْقَىٰ مُوسَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِىَ تَلْقَفُ مَا يَأْفِكُونَ

Faalqa moosa AAasahufa-itha hiya talqafu ma ya/fikoon

Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.

26:46

فَأُلْقِىَ ٱلسَّحَرَةُ سَـٰجِدِينَ

Faolqiya assaharatu sajideen

Hapo wachawi walipinduka wakasujudu.

26:47

قَالُوٓا۟ ءَامَنَّا بِرَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Qaloo amanna birabbialAAalameen

Wakasema: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:48

رَبِّ مُوسَىٰ وَهَـٰرُونَ

Rabbi moosa waharoon

Mola Mlezi wa Musa na Harun.

26:49

قَالَ ءَامَنتُمْ لَهُۥ قَبْلَ أَنْ ءَاذَنَ لَكُمْ ۖ إِنَّهُۥ لَكَبِيرُكُمُ ٱلَّذِى عَلَّمَكُمُ ٱلسِّحْرَ فَلَسَوْفَ تَعْلَمُونَ ۚ لَأُقَطِّعَنَّ أَيْدِيَكُمْ وَأَرْجُلَكُم مِّنْ خِلَـٰفٍ وَلَأُصَلِّبَنَّكُمْ أَجْمَعِينَ

Qala amantum lahu qabla an athanalakum innahu lakabeerukumu allathee AAallamakumu assihrafalasawfa taAAlamoona laoqattiAAanna aydiyakum waarjulakummin khilafin walaosallibannakum ajmaAAeen

(Firauni) akasema: Je! Mmemuamini kabla sijakuruhusuni? Bila ya shaka yeye basi ndiye mkubwa wenu aliye kufunzeni uchawi. Basi mtakuja jua! Nitakata mikono yenu na miguu yenu kwa kutafautisha. Na nitakubandikeni misalabani nyote.

26:50

قَالُوا۟ لَا ضَيْرَ ۖ إِنَّآ إِلَىٰ رَبِّنَا مُنقَلِبُونَ

Qaloo la dayra innaila rabbina munqaliboon

Wakasema: Haidhuru, kwani sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi.

26:51

إِنَّا نَطْمَعُ أَن يَغْفِرَ لَنَا رَبُّنَا خَطَـٰيَـٰنَآ أَن كُنَّآ أَوَّلَ ٱلْمُؤْمِنِينَ

Inna natmaAAu an yaghfira lanarabbuna khatayana an kunnaawwala almu/mineen

Hakika sisi tunatumai Mola wetu Mlezi atatusamehe makosa yetu, kwa kuwa ndio wa kwanza wa kuamini.

26:52

۞ وَأَوْحَيْنَآ إِلَىٰ مُوسَىٰٓ أَنْ أَسْرِ بِعِبَادِىٓ إِنَّكُم مُّتَّبَعُونَ

Waawhayna ila moosaan asri biAAibadee innakum muttabaAAoon

Na tulimuamrisha Musa kwa wahyi: Nenda na waja wangu wakati wa usiku. Kwa hakika mtafuatwa.

26:53

فَأَرْسَلَ فِرْعَوْنُ فِى ٱلْمَدَآئِنِ حَـٰشِرِينَ

Faarsala firAAawnu fee almada-ini hashireen

Basi Firauni akawatuma mijini wapiga mbiu za mgambo.

26:54

إِنَّ هَـٰٓؤُلَآءِ لَشِرْذِمَةٌ قَلِيلُونَ

Inna haola-i lashirthimatunqaleeloon

(Wakieneza): Hakika hawa ni kikundi kidogo.

26:55

وَإِنَّهُمْ لَنَا لَغَآئِظُونَ

Wa-innahum lana lagha-ithoon

Nao wanatuudhi.

26:56

وَإِنَّا لَجَمِيعٌ حَـٰذِرُونَ

Wa-inna lajameeAAun hathiroon

Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.

26:57

فَأَخْرَجْنَـٰهُم مِّن جَنَّـٰتٍ وَعُيُونٍ

Faakhrajnahum min jannatinwaAAuyoon

Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,

26:58

وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ

Wakunoozin wamaqamin kareem

Na makhazina, na vyeo vya hishima,

26:59

كَذَٰلِكَ وَأَوْرَثْنَـٰهَا بَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ

Kathalika waawrathnahabanee isra-eel

Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.

26:60

فَأَتْبَعُوهُم مُّشْرِقِينَ

FaatbaAAoohum mushriqeen

Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.

26:61

فَلَمَّا تَرَٰٓءَا ٱلْجَمْعَانِ قَالَ أَصْحَـٰبُ مُوسَىٰٓ إِنَّا لَمُدْرَكُونَ

Falamma taraa aljamAAaniqala as-habu moosa innalamudrakoon

Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana!

26:62

قَالَ كَلَّآ ۖ إِنَّ مَعِىَ رَبِّى سَيَهْدِينِ

Qala kalla inna maAAiya rabbeesayahdeen

(Musa) akasema: Hasha! Hakika yu pamoja nami Mola wangu Mlezi. Yeye ataniongoa!

26:63

فَأَوْحَيْنَآ إِلَىٰ مُوسَىٰٓ أَنِ ٱضْرِب بِّعَصَاكَ ٱلْبَحْرَ ۖ فَٱنفَلَقَ فَكَانَ كُلُّ فِرْقٍ كَٱلطَّوْدِ ٱلْعَظِيمِ

Faawhayna ila moosaani idrib biAAasaka albahra fanfalaqafakana kullu firqin kattawdi alAAatheem

Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa kama mlima mkubwa.

26:64

وَأَزْلَفْنَا ثَمَّ ٱلْـَٔاخَرِينَ

Waazlafna thamma al-akhareen

Na tukawajongeza hapo wale wengine.

26:65

وَأَنجَيْنَا مُوسَىٰ وَمَن مَّعَهُۥٓ أَجْمَعِينَ

Waanjayna moosa waman maAAahuajmaAAeen

Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.

26:66

ثُمَّ أَغْرَقْنَا ٱلْـَٔاخَرِينَ

Thumma aghraqna al-akhareen

Kisha tukawazamisha hao wengine.

26:67

إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ

Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.

26:68

وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

26:69

وَٱتْلُ عَلَيْهِمْ نَبَأَ إِبْرَٰهِيمَ

Watlu AAalayhim nabaa ibraheem

Na wasomee khabari za Ibrahim.

26:70

إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِۦ مَا تَعْبُدُونَ

Ith qala li-abeehi waqawmihi mataAAbudoon

Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?

26:71

قَالُوا۟ نَعْبُدُ أَصْنَامًا فَنَظَلُّ لَهَا عَـٰكِفِينَ

Qaloo naAAbudu asnamanfanathallu laha AAakifeen

Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.

26:72

قَالَ هَلْ يَسْمَعُونَكُمْ إِذْ تَدْعُونَ

Qala hal yasmaAAoonakum ithtadAAoon

Akasema: Je! Yanakusikieni mnapo yaita?

26:73

أَوْ يَنفَعُونَكُمْ أَوْ يَضُرُّونَ

Aw yanfaAAoonakum aw yadurroon

Au yanakufaeni, au yanakudhuruni?

26:74

قَالُوا۟ بَلْ وَجَدْنَآ ءَابَآءَنَا كَذَٰلِكَ يَفْعَلُونَ

Qaloo bal wajadna abaanakathalika yafAAaloon

Wakasema: Bali tumewakuta baba zetu wakifanya hivyo hivyo.

26:75

قَالَ أَفَرَءَيْتُم مَّا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ

Qala afaraaytum ma kuntumtaAAbudoon

Je! Mmewaona hawa mnao waabudu-

26:76

أَنتُمْ وَءَابَآؤُكُمُ ٱلْأَقْدَمُونَ

Antum waabaokumu al-aqdamoon

Nyinyi na baba zenu wa zamani?

26:77

فَإِنَّهُمْ عَدُوٌّ لِّىٓ إِلَّا رَبَّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Fa-innahum AAaduwwun lee illa rabbaalAAalameen

Kwani hakika hao ni adui zangu, isipo kuwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:78

ٱلَّذِى خَلَقَنِى فَهُوَ يَهْدِينِ

Allathee khalaqanee fahuwa yahdeen

Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,

26:79

وَٱلَّذِى هُوَ يُطْعِمُنِى وَيَسْقِينِ

Wallathee huwa yutAAimuneewayasqeen

Na ambaye ndiye ananilisha na kuninywesha.

26:80

وَإِذَا مَرِضْتُ فَهُوَ يَشْفِينِ

Wa-itha maridtu fahuwayashfeen

Na ninapo ugua ni Yeye ndiye anaye niponesha.

26:81

وَٱلَّذِى يُمِيتُنِى ثُمَّ يُحْيِينِ

Wallathee yumeetunee thummayuhyeen

Na ambaye atanifisha, na kisha atanihuisha.

26:82

وَٱلَّذِىٓ أَطْمَعُ أَن يَغْفِرَ لِى خَطِيٓـَٔتِى يَوْمَ ٱلدِّينِ

Wallathee atmaAAu anyaghfira lee khatee-atee yawma addeen

Na ambaye ndiye ninaye mtumai kunisamehe makosa yangu Siku ya Malipo.

26:83

رَبِّ هَبْ لِى حُكْمًا وَأَلْحِقْنِى بِٱلصَّـٰلِحِينَ

Rabbi hab lee hukman waalhiqneebissaliheen

Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.

26:84

وَٱجْعَل لِّى لِسَانَ صِدْقٍ فِى ٱلْـَٔاخِرِينَ

WajAAal lee lisana sidqinfee al-akhireen

Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.

26:85

وَٱجْعَلْنِى مِن وَرَثَةِ جَنَّةِ ٱلنَّعِيمِ

WajAAalnee min warathati jannati annaAAeem

Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.

26:86

وَٱغْفِرْ لِأَبِىٓ إِنَّهُۥ كَانَ مِنَ ٱلضَّآلِّينَ

Waghfir li-abee innahu kanamina addalleen

Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.

26:87

وَلَا تُخْزِنِى يَوْمَ يُبْعَثُونَ

Wala tukhzinee yawma yubAAathoon

Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.

26:88

يَوْمَ لَا يَنفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ

Yawma la yanfaAAu malun walabanoon

Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.

26:89

إِلَّا مَنْ أَتَى ٱللَّهَ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ

Illa man ata Allahabiqalbin saleem

Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.

26:90

وَأُزْلِفَتِ ٱلْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ

Waozlifati aljannatu lilmuttaqeen

Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.

26:91

وَبُرِّزَتِ ٱلْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ

Waburrizati aljaheemu lilghaween

Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu.

26:92

وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ

Waqeela lahum ayna ma kuntumtaAAbudoon

Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu

26:93

مِن دُونِ ٱللَّهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ

Min dooni Allahi hal yansuroonakumaw yantasiroon

Badala ya Mwenyezi Mungu? Je! Wanakusaidieni, au wanajisaidia wenyewe?

26:94

فَكُبْكِبُوا۟ فِيهَا هُمْ وَٱلْغَاوُۥنَ

Fakubkiboo feeha hum walghawoon

Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,

26:95

وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ

Wajunoodu ibleesa ajmaAAoon

Na majeshi ya Ibilisi yote.

26:96

قَالُوا۟ وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ

Qaloo wahum feeha yakhtasimoon

Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:

26:97

تَٱللَّهِ إِن كُنَّا لَفِى ضَلَـٰلٍ مُّبِينٍ

Tallahi in kunna lafeedalalin mubeen

Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri,

26:98

إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Ith nusawweekum birabbi alAAalameen

Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:99

وَمَآ أَضَلَّنَآ إِلَّا ٱلْمُجْرِمُونَ

Wama adallana illaalmujrimoon

Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.

26:100

فَمَا لَنَا مِن شَـٰفِعِينَ

Fama lana min shafiAAeen

Basi hatuna waombezi.

26:101

وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ

Wala sadeeqin hameem

Wala rafiki wa dhati.

26:102

فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ

Falaw anna lana karratan fanakoonamina almu/mineen

Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.

26:103

إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ

Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.

26:104

وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

26:105

كَذَّبَتْ قَوْمُ نُوحٍ ٱلْمُرْسَلِينَ

Kaththabat qawmu noohinalmursaleen

Kaumu ya Nuhu waliwakadhibisha Mitume.

26:106

إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ نُوحٌ أَلَا تَتَّقُونَ

Ith qala lahum akhoohum noohunala tattaqoon

Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?

26:107

إِنِّى لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ

Innee lakum rasoolun ameen

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

26:108

فَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

26:109

وَمَآ أَسْـَٔلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِىَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Na sikutakini juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:110

فَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

26:111

۞ قَالُوٓا۟ أَنُؤْمِنُ لَكَ وَٱتَّبَعَكَ ٱلْأَرْذَلُونَ

Qaloo anu/minu laka wattabaAAakaal-arthaloon

Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?

26:112

قَالَ وَمَا عِلْمِى بِمَا كَانُوا۟ يَعْمَلُونَ

Qala wama AAilmee bimakanoo yaAAmaloon

Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?

26:113

إِنْ حِسَابُهُمْ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّى ۖ لَوْ تَشْعُرُونَ

In hisabuhum illa AAalarabbee law tashAAuroon

Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!

26:114

وَمَآ أَنَا۠ بِطَارِدِ ٱلْمُؤْمِنِينَ

Wama ana bitaridialmu/mineen

Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.

26:115

إِنْ أَنَا۠ إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ

In ana illa natheerunmubeen

Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.

26:116

قَالُوا۟ لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَـٰنُوحُ لَتَكُونَنَّ مِنَ ٱلْمَرْجُومِينَ

Qaloo la-in lam tantahi yanoohu latakoonanna mina almarjoomeen

Wakasema: Ikiwa huachi, ewe Nuhu, bila ya shaka utapigwa mawe.

26:117

قَالَ رَبِّ إِنَّ قَوْمِى كَذَّبُونِ

Qala rabbi inna qawmee kaththaboon

Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha.

26:118

فَٱفْتَحْ بَيْنِى وَبَيْنَهُمْ فَتْحًا وَنَجِّنِى وَمَن مَّعِىَ مِنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ

Faftah baynee wabaynahum fathanwanajjinee waman maAAiya mina almu/mineen

Basi hukumu baina yangu na wao kwa hukumu yako, na uniokoe mimi na walio pamoja nami, Waumini.

26:119

فَأَنجَيْنَـٰهُ وَمَن مَّعَهُۥ فِى ٱلْفُلْكِ ٱلْمَشْحُونِ

Faanjaynahu waman maAAahu feealfulki almashhoon

Kwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni.

26:120

ثُمَّ أَغْرَقْنَا بَعْدُ ٱلْبَاقِينَ

Thumma aghraqna baAAdu albaqeen

Kisha tukawazamisha baadaye walio bakia.

26:121

إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ

Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.

26:122

وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

26:123

كَذَّبَتْ عَادٌ ٱلْمُرْسَلِينَ

Kaththabat AAadun almursaleen

Kina A'd waliwakanusha Mitume.

26:124

إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ هُودٌ أَلَا تَتَّقُونَ

Ith qala lahum akhoohumhoodun ala tattaqoon

Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?

26:125

إِنِّى لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ

Innee lakum rasoolun ameen

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

26:126

فَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

26:127

وَمَآ أَسْـَٔلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِىَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Wala sikutakeni juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:128

أَتَبْنُونَ بِكُلِّ رِيعٍ ءَايَةً تَعْبَثُونَ

Atabnoona bikulli reeAAin ayatantaAAbathoon

Je! Mnajenga juu ya kila mnyanyuko kumbusho la kufanyia upuuzi?

26:129

وَتَتَّخِذُونَ مَصَانِعَ لَعَلَّكُمْ تَخْلُدُونَ

Watattakhithoona masaniAAalaAAallakum takhludoon

Na mnajenga majengo ya fakhari kama kwamba mtaishi milele!

26:130

وَإِذَا بَطَشْتُم بَطَشْتُمْ جَبَّارِينَ

Wa-itha batashtum batashtumjabbareen

Na mnapo tumia nguvu mnatumia nguvu kwa ujabari.

26:131

فَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.

26:132

وَٱتَّقُوا۟ ٱلَّذِىٓ أَمَدَّكُم بِمَا تَعْلَمُونَ

Wattaqoo allathee amaddakumbima taAAlamoon

Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.

26:133

أَمَدَّكُم بِأَنْعَـٰمٍ وَبَنِينَ

Amaddakum bi-anAAamin wabaneen

Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.

26:134

وَجَنَّـٰتٍ وَعُيُونٍ

Wajannatin waAAuyoon

Na mabustani na chemchem.

26:135

إِنِّىٓ أَخَافُ عَلَيْكُمْ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ

Innee akhafu AAalaykum AAathabayawmin AAatheem

Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.

26:136

قَالُوا۟ سَوَآءٌ عَلَيْنَآ أَوَعَظْتَ أَمْ لَمْ تَكُن مِّنَ ٱلْوَٰعِظِينَ

Qaloo sawaon AAalaynaawaAAathta am lam takun mina alwaAAitheen

Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.

26:137

إِنْ هَـٰذَآ إِلَّا خُلُقُ ٱلْأَوَّلِينَ

In hatha illa khuluqual-awwaleen

Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.

26:138

وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ

Wama nahnu bimuAAaththabeen

Wala sisi hatutaadhibiwa.

26:139

فَكَذَّبُوهُ فَأَهْلَكْنَـٰهُمْ ۗ إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ

Fakaththaboohu faahlaknahuminna fee thalika laayatan wama kanaaktharuhum mu/mineen

Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

26:140

وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

26:141

كَذَّبَتْ ثَمُودُ ٱلْمُرْسَلِينَ

Kaththabat thamoodu almursaleen

Kina Thamud waliwakanusha Mitume.

26:142

إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ صَـٰلِحٌ أَلَا تَتَّقُونَ

Ith qala lahum akhoohum salihunala tattaqoon

Alipo waambia ndugu yao Saleh: Je! Hamumchimngu?

26:143

إِنِّى لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ

Innee lakum rasoolun ameen

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

26:144

فَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.

26:145

وَمَآ أَسْـَٔلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِىَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:146

أَتُتْرَكُونَ فِى مَا هَـٰهُنَآ ءَامِنِينَ

Atutrakoona fee ma hahunaamineen

Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?

26:147

فِى جَنَّـٰتٍ وَعُيُونٍ

Fee jannatin waAAuyoon

Katika mabustani, na chemchem?

26:148

وَزُرُوعٍ وَنَخْلٍ طَلْعُهَا هَضِيمٌ

WazurooAAin wanakhlin talAAuhahadeem

Na konde na mitende yenye makole yaliyo wiva.

26:149

وَتَنْحِتُونَ مِنَ ٱلْجِبَالِ بُيُوتًا فَـٰرِهِينَ

Watanhitoona mina aljibalibuyootan fariheen

Na mnachonga milimani majumba kwa ustadi.

26:150

فَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

26:151

وَلَا تُطِيعُوٓا۟ أَمْرَ ٱلْمُسْرِفِينَ

Wala tuteeAAoo amraalmusrifeen

Wala msit'ii amri za walio pindukia mipaka,

26:152

ٱلَّذِينَ يُفْسِدُونَ فِى ٱلْأَرْضِ وَلَا يُصْلِحُونَ

Allatheena yufsidoona fee al-ardiwala yuslihoon

Ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.

26:153

قَالُوٓا۟ إِنَّمَآ أَنتَ مِنَ ٱلْمُسَحَّرِينَ

Qaloo innama anta mina almusahhareen

Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.

26:154

مَآ أَنتَ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُنَا فَأْتِ بِـَٔايَةٍ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّـٰدِقِينَ

Ma anta illa basharun mithlunafa/ti bi-ayatin in kunta mina assadiqeena

Wewe si chochote ila ni mtu kama sisi. Basi lete Ishara ukiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.

26:155

قَالَ هَـٰذِهِۦ نَاقَةٌ لَّهَا شِرْبٌ وَلَكُمْ شِرْبُ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ

Qala hathihi naqatunlaha shirbun walakum shirbu yawmin maAAloom

Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.

26:156

وَلَا تَمَسُّوهَا بِسُوٓءٍ فَيَأْخُذَكُمْ عَذَابُ يَوْمٍ عَظِيمٍ

Wala tamassooha bisoo-infaya/khuthakum AAathabu yawmin AAatheem

Wala msimguse kwa uwovu, isije ikakushikeni adhabu ya Siku Kubwa.

26:157

فَعَقَرُوهَا فَأَصْبَحُوا۟ نَـٰدِمِينَ

FaAAaqarooha faasbahoonadimeen

Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.

26:158

فَأَخَذَهُمُ ٱلْعَذَابُ ۗ إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ

Faakhathahumu alAAathabu innafee thalika laayatan wama kanaaktharuhum mu/mineen

Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

26:159

وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

26:160

كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ ٱلْمُرْسَلِينَ

Kaththabat qawmu lootinalmursaleen

Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.

26:161

إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ لُوطٌ أَلَا تَتَّقُونَ

Ith qala lahum akhoohum lootunala tattaqoon

Alipo waambia ndugu yao, Lut'i: Je! Hamumchimngu?

26:162

إِنِّى لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ

Innee lakum rasoolun ameen

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu.

26:163

فَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.

26:164

وَمَآ أَسْـَٔلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِىَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Wala mimi sikutakini ujira juu yake; ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:165

أَتَأْتُونَ ٱلذُّكْرَانَ مِنَ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Ata/toona aththukranamina alAAalameen

Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?

26:166

وَتَذَرُونَ مَا خَلَقَ لَكُمْ رَبُّكُم مِّنْ أَزْوَٰجِكُم ۚ بَلْ أَنتُمْ قَوْمٌ عَادُونَ

Watatharoona ma khalaqa lakumrabbukum min azwajikum bal antum qawmun AAadoon

Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!

26:167

قَالُوا۟ لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَـٰلُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ ٱلْمُخْرَجِينَ

Qaloo la-in lam tantahi yalootu latakoonanna mina almukhrajeen

Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!

26:168

قَالَ إِنِّى لِعَمَلِكُم مِّنَ ٱلْقَالِينَ

Qala innee liAAamalikum mina alqaleen

Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.

26:169

رَبِّ نَجِّنِى وَأَهْلِى مِمَّا يَعْمَلُونَ

Rabbi najjinee waahlee mimmayaAAmaloon

Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.

26:170

فَنَجَّيْنَـٰهُ وَأَهْلَهُۥٓ أَجْمَعِينَ

Fanajjaynahu waahlahu ajmaAAeen

Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,

26:171

إِلَّا عَجُوزًا فِى ٱلْغَـٰبِرِينَ

Illa AAajoozan fee alghabireen

Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.

26:172

ثُمَّ دَمَّرْنَا ٱلْـَٔاخَرِينَ

Thumma dammarna al-akhareen

Kisha tukawaangamiza wale wengine.

26:173

وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِم مَّطَرًا ۖ فَسَآءَ مَطَرُ ٱلْمُنذَرِينَ

Waamtarna AAalayhim mataranfasaa mataru almunthareen

Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.

26:174

إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ

Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

26:175

وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.

26:176

كَذَّبَ أَصْحَـٰبُ لْـَٔيْكَةِ ٱلْمُرْسَلِينَ

Kaththaba as-habual-aykati almursaleen

Watu wa Machakani waliwakanusha Mitume.

26:177

إِذْ قَالَ لَهُمْ شُعَيْبٌ أَلَا تَتَّقُونَ

Ith qala lahum shuAAaybun alatattaqoon

Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamchamngu?

26:178

إِنِّى لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ

Innee lakum rasoolun ameen

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

26:179

فَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

26:180

وَمَآ أَسْـَٔلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِىَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:181

۞ أَوْفُوا۟ ٱلْكَيْلَ وَلَا تَكُونُوا۟ مِنَ ٱلْمُخْسِرِينَ

Awfoo alkayla wala takoonoo minaalmukhsireen

Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.

26:182

وَزِنُوا۟ بِٱلْقِسْطَاسِ ٱلْمُسْتَقِيمِ

Wazinoo bilqistasialmustaqeem

Na pimeni kwa haki iliyo nyooka;

26:183

وَلَا تَبْخَسُوا۟ ٱلنَّاسَ أَشْيَآءَهُمْ وَلَا تَعْثَوْا۟ فِى ٱلْأَرْضِ مُفْسِدِينَ

Wala tabkhasoo annasaashyaahum wala taAAthaw fee al-ardimufsideen

Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.

26:184

وَٱتَّقُوا۟ ٱلَّذِى خَلَقَكُمْ وَٱلْجِبِلَّةَ ٱلْأَوَّلِينَ

Wattaqoo allathee khalaqakumwaljibillata al-awwaleen

Na mcheni aliye kuumbeni nyinyi na vizazi vilivyo tangulia.

26:185

قَالُوٓا۟ إِنَّمَآ أَنتَ مِنَ ٱلْمُسَحَّرِينَ

Qaloo innama anta mina almusahhareen

Wakasema: Hakika wewe ni katika walio rogwa.

26:186

وَمَآ أَنتَ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُنَا وَإِن نَّظُنُّكَ لَمِنَ ٱلْكَـٰذِبِينَ

Wama anta illa basharunmithluna wa-in nathunnuka lamina alkathibeen

Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe ni katika waongo.

26:187

فَأَسْقِطْ عَلَيْنَا كِسَفًا مِّنَ ٱلسَّمَآءِ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّـٰدِقِينَ

Faasqit AAalayna kisafan minaassama-i in kunta mina assadiqeen

Hebu tuangushie vipande kutoka mbinguni ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.

26:188

قَالَ رَبِّىٓ أَعْلَمُ بِمَا تَعْمَلُونَ

Qala rabbee aAAlamu bimataAAmaloon

Akasema: Mola wangu Mlezi anajua zaidi mnayo yatenda.

26:189

فَكَذَّبُوهُ فَأَخَذَهُمْ عَذَابُ يَوْمِ ٱلظُّلَّةِ ۚ إِنَّهُۥ كَانَ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ

Fakaththaboohu faakhathahumAAathabu yawmi aththullati innahu kanaAAathaba yawmin AAatheem

Basi walimkanusha, na ikawashika adhabu ya siku ya kivuli. Hakika hiyo ilikuwa adhabu ya siku kubwa.

26:190

إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ

Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Hakika katika hayo ipo Ishara, lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

26:191

وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ

Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

26:192

وَإِنَّهُۥ لَتَنزِيلُ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Wa-innahu latanzeelu rabbi alAAalameen

Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

26:193

نَزَلَ بِهِ ٱلرُّوحُ ٱلْأَمِينُ

Nazala bihi arroohu al-ameen

Ameuteremsha Roho muaminifu,

26:194

عَلَىٰ قَلْبِكَ لِتَكُونَ مِنَ ٱلْمُنذِرِينَ

AAala qalbika litakoona mina almunthireen

Juu ya moyo wako, ili uwe katika Waonyaji,

26:195

بِلِسَانٍ عَرَبِىٍّ مُّبِينٍ

Bilisanin AAarabiyyin mubeen

Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.

26:196

وَإِنَّهُۥ لَفِى زُبُرِ ٱلْأَوَّلِينَ

Wa-innahu lafee zuburi al-awwaleen

Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.

26:197

أَوَلَمْ يَكُن لَّهُمْ ءَايَةً أَن يَعْلَمَهُۥ عُلَمَـٰٓؤُا۟ بَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ

Awa lam yakun lahum ayatan anyaAAlamahu AAulamao banee isra-eel

Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa Wana wa Israili?

26:198

وَلَوْ نَزَّلْنَـٰهُ عَلَىٰ بَعْضِ ٱلْأَعْجَمِينَ

Walaw nazzalnahu AAala baAAdial-aAAjameen

Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,

26:199

فَقَرَأَهُۥ عَلَيْهِم مَّا كَانُوا۟ بِهِۦ مُؤْمِنِينَ

Faqaraahu AAalayhim ma kanoobihi mu/mineen

Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.

26:200

كَذَٰلِكَ سَلَكْنَـٰهُ فِى قُلُوبِ ٱلْمُجْرِمِينَ

Kathalika salaknahu feequloobi almujrimeen

Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.

26:201

لَا يُؤْمِنُونَ بِهِۦ حَتَّىٰ يَرَوُا۟ ٱلْعَذَابَ ٱلْأَلِيمَ

La yu/minoona bihi hattayarawoo alAAathaba al-aleem

Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.

26:202

فَيَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ

Faya/tiyahum baghtatan wahum layashAAuroon

Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.

26:203

فَيَقُولُوا۟ هَلْ نَحْنُ مُنظَرُونَ

Fayaqooloo hal nahnu muntharoon

Na watasema: Je, tutapewa muhula?

26:204

أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ

AfabiAAathabina yastaAAjiloon

Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?

26:205

أَفَرَءَيْتَ إِن مَّتَّعْنَـٰهُمْ سِنِينَ

Afaraayta in mattaAAnahum sineen

Waonaje kama tukiwastarehesha kwa miaka,

26:206

ثُمَّ جَآءَهُم مَّا كَانُوا۟ يُوعَدُونَ

Thumma jaahum ma kanooyooAAadoon

Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,

26:207

مَآ أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا۟ يُمَتَّعُونَ

Ma aghna AAanhum ma kanooyumattaAAoon

Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?

26:208

وَمَآ أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنذِرُونَ

Wama ahlakna min qaryatin illalaha munthiroon

Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -

26:209

ذِكْرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَـٰلِمِينَ

Thikra wama kunnathalimeen

Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.

26:210

وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ ٱلشَّيَـٰطِينُ

Wama tanazzalat bihi ashshayateen

Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,

26:211

وَمَا يَنۢبَغِى لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ

Wama yanbaghee lahum wamayastateeAAoon

Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.

26:212

إِنَّهُمْ عَنِ ٱلسَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ

Innahum AAani assamAAilamaAAzooloona

Hakika hao wametengwa na kusikia.

26:213

فَلَا تَدْعُ مَعَ ٱللَّهِ إِلَـٰهًا ءَاخَرَ فَتَكُونَ مِنَ ٱلْمُعَذَّبِينَ

Fala tadAAu maAAa Allahi ilahanakhara fatakoona mina almuAAaththabeen

Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.

26:214

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ ٱلْأَقْرَبِينَ

Waanthir AAasheerataka al-aqrabeen

Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

26:215

وَٱخْفِضْ جَنَاحَكَ لِمَنِ ٱتَّبَعَكَ مِنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ

Wakhfid janahakalimani ittabaAAaka mina almu/mineen

Na watwae kwa upole wanao kufuata miongoni mwa Waumini.

26:216

فَإِنْ عَصَوْكَ فَقُلْ إِنِّى بَرِىٓءٌ مِّمَّا تَعْمَلُونَ

Fa-in AAasawka faqul innee baree-onmimma taAAmaloon

Na ikiwa watakuasi basi sema: Mimi najitenga mbali na hayo mnayo yatenda.

26:217

وَتَوَكَّلْ عَلَى ٱلْعَزِيزِ ٱلرَّحِيمِ

Watawakkal AAala alAAazeezi arraheem

Na umtegemee Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

26:218

ٱلَّذِى يَرَىٰكَ حِينَ تَقُومُ

Allathee yaraka heenataqoom

Ambaye anakuona unapo simama,

26:219

وَتَقَلُّبَكَ فِى ٱلسَّـٰجِدِينَ

Wataqallubaka fee assajideen

Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.

26:220

إِنَّهُۥ هُوَ ٱلسَّمِيعُ ٱلْعَلِيمُ

Innahu huwa assameeAAu alAAaleem

Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.

26:221

هَلْ أُنَبِّئُكُمْ عَلَىٰ مَن تَنَزَّلُ ٱلشَّيَـٰطِينُ

Hal onabbi-okum AAala man tanazzaluashshayateen

Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?

26:222

تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ

Tanazzalu AAala kulli affakinatheem

Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.

26:223

يُلْقُونَ ٱلسَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَـٰذِبُونَ

Yulqoona assamAAa waaktharuhum kathiboon

Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.

26:224

وَٱلشُّعَرَآءُ يَتَّبِعُهُمُ ٱلْغَاوُۥنَ

WashshuAAaraoyattabiAAuhumu alghawoon

Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.

26:225

أَلَمْ تَرَ أَنَّهُمْ فِى كُلِّ وَادٍ يَهِيمُونَ

Alam tara annahum fee kulli wadinyaheemoon

Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?

26:226

وَأَنَّهُمْ يَقُولُونَ مَا لَا يَفْعَلُونَ

Waannahum yaqooloona ma layafAAaloon

Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?

26:227

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ وَذَكَرُوا۟ ٱللَّهَ كَثِيرًا وَٱنتَصَرُوا۟ مِنۢ بَعْدِ مَا ظُلِمُوا۟ ۗ وَسَيَعْلَمُ ٱلَّذِينَ ظَلَمُوٓا۟ أَىَّ مُنقَلَبٍ يَنقَلِبُونَ

Illa allatheena amanoowaAAamiloo assalihati wathakaroo Allahakatheeran wantasaroo min baAAdi ma thulimoowasayaAAlamu allatheena thalamoo ayyamunqalabin yanqaliboon

Isipo kuwa wale walio amini, na wakatenda mema, na wakamkumbuka Mwenyezi Mungu kwa wingi, na wakajitetea wanapo dhulumiwa. Na wanao dhulumu watakuja jua mgeuko gani watakao geuka.