MyAwqat
EnglishEnglish
Arabicالعربية
Malayalamമലയാളം
Urduاردو
Hindiहिन्दी
Bengaliবাংলা
Tamilதமிழ்
Teluguతెలుగు
Chinese中文
Japanese日本語
Korean한국어
RussianРусский
FrenchFrançais
TurkishTürkçe
MalayBahasa Melayu
IndonesianIndonesia
SomaliSoomaali
GermanDeutsch
SpanishEspañol
PortuguesePortuguês
SwahiliKiswahili
Thaiไทย
Persianفارسی
Hebrewעברית
Kurdishکوردی
HausaHausa
Amharicአማርኛ
Gujaratiગુજરાતી
Kannadaಕನ್ನಡ
Pashtoپښتو
ItalianItaliano
37

Surah As-Saffat

الصافات

Those who set the Ranks

182 verses · Makkiyah · Revelation order 56

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ
37:1

وَٱلصَّـٰٓفَّـٰتِ صَفًّا

Wassaffati saffa

Naapa kwa wanao jipanga kwa safu.

Tafsir Al-Muyassar: أقسم الله تعالى بالملائكة تصف في عبادتها صفوفًا متراصة، وبالملائكة تزجر السحاب وتسوقه بأمر الله، وبالملائكة تتلو ذكر الله وكلامه تعالى. إن معبودكم -أيها الناس- لواحد لا شريك له، فأخلصوا له العبادة والطاعة. ويقسم الله بما شاء مِن خلقه، أما المخلوق فلا يجوز له القسم إلا بالله، فالحلف بغير الله شرك.
37:2

فَٱلزَّٰجِرَٰتِ زَجْرًا

Fazzajirati zajra

Na kwa wenye kukataza mabaya.

Tafsir Al-Muyassar: هو خالق السموات والأرض وما بينهما، ومدبِّر الشمس في مطالعها ومغاربها.
37:3

فَٱلتَّـٰلِيَـٰتِ ذِكْرًا

Fattaliyati thikra

Na kwa wenye kusoma Ukumbusho.

Tafsir Al-Muyassar: إنَّا زينَّا السماء الدنيا بزينة هي النجوم.
37:4

إِنَّ إِلَـٰهَكُمْ لَوَٰحِدٌ

Inna ilahakum lawahid

Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.

Tafsir Al-Muyassar: وحفظنا السماء بالنجوم مِن كل شيطان متمرِّد عاتٍ رجيم.
37:5

رَّبُّ ٱلسَّمَـٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا وَرَبُّ ٱلْمَشَـٰرِقِ

Rabbu assamawati wal-ardiwama baynahuma warabbu almashariq

Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na ni Mola Mlezi wa mashariki zote.

Tafsir Al-Muyassar: لا تستطيع الشياطين أن تصل إلى الملأ الأعلى، وهي السموات ومَن فيها مِن الملائكة، فتستمع إليهم إذا تكلموا بما يوحيه الله تعالى مِن شرعه وقدره، ويُرْجَمون بالشهب من كل جهة; طردًا لهم عن الاستماع، ولهم في الدار الآخرة عذاب دائم موجع.
37:6

إِنَّا زَيَّنَّا ٱلسَّمَآءَ ٱلدُّنْيَا بِزِينَةٍ ٱلْكَوَاكِبِ

Inna zayyanna assamaaaddunya bizeenatin alkawakib

Hakika Sisi tumeipamba mbingu ya karibu kwa pambo la nyota.

Tafsir Al-Muyassar: لا تستطيع الشياطين أن تصل إلى الملأ الأعلى، وهي السموات ومَن فيها مِن الملائكة، فتستمع إليهم إذا تكلموا بما يوحيه الله تعالى مِن شرعه وقدره، ويُرْجَمون بالشهب من كل جهة؛ طردًا لهم عن الاستماع، ولهم في الدار الآخرة عذاب دائم موجع.
37:7

وَحِفْظًا مِّن كُلِّ شَيْطَـٰنٍ مَّارِدٍ

Wahifthan min kulli shaytaninmarid

Na kulinda na kila shet'ani a'si.

Tafsir Al-Muyassar: إلا مَنِ اختطف من الشياطين الخطفة، وهي الكلمة يسمعها من السماء بسرعة، فيلقيها إلى الذي تحته، ويلقيها الآخر إلى الذي تحته، فربما أدركه الشهاب المضيء قبل أن يلقيها، وربما ألقاها بقَدَر الله تعالى قبل أن يأتيه الشهاب، فيحرقه فيذهب بها الآخر إلى الكهنة، فيكذبون معها مائة كذبة.
37:8

لَّا يَسَّمَّعُونَ إِلَى ٱلْمَلَإِ ٱلْأَعْلَىٰ وَيُقْذَفُونَ مِن كُلِّ جَانِبٍ

La yassammaAAoona ila almala-ial-aAAla wayuqthafoona min kulli janib

Wasiweze kuwasikiliza viumbe watukufu. Na wanafukuzwa huko kila upande.

Tafsir Al-Muyassar: فاسأل -أيها الرسول- منكري البعث أَهُم أشد خلقًا أم من خلقنا من هذه المخلوقات؟ إنا خلقنا أباهم آدم من طين لزج، يلتصق بعضه ببعض.
37:9

دُحُورًا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ وَاصِبٌ

Duhooran walahum AAathabun wasib

Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.

Tafsir Al-Muyassar: بل عجبتَ -أيها الرسول- من تكذيبهم وإنكارهم البعث، وأعجب من إنكارهم وأبلغ أنهم يستهزئون بك، ويسخرون من قولك.
37:10

إِلَّا مَنْ خَطِفَ ٱلْخَطْفَةَ فَأَتْبَعَهُۥ شِهَابٌ ثَاقِبٌ

Illa man khatifa alkhatfatafaatbaAAahu shihabun thaqib

Isipo kuwa anaye nyakua kitu kidogo, na mara humfwatia kimondo kinacho ng'ara.

Tafsir Al-Muyassar: وإذا ذكِّروا بما نسوه أو غَفَلوا عنه لا ينتفعون بهذا الذكر ولا يتدبَّرون.
37:11

فَٱسْتَفْتِهِمْ أَهُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَم مَّنْ خَلَقْنَآ ۚ إِنَّا خَلَقْنَـٰهُم مِّن طِينٍ لَّازِبٍۭ

Fastaftihim ahum ashaddu khalqan amman khalaqna inna khalaqnahum min teeninlazib

Hebu waulize: Je! Wao ni wenye umbo gumu zaidi au hao wengine tulio waumba. Hakika Sisi tuliwaumba wao kwa udongo unao nata.

37:12

بَلْ عَجِبْتَ وَيَسْخَرُونَ

Bal AAajibta wayaskharoon

Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.

37:13

وَإِذَا ذُكِّرُوا۟ لَا يَذْكُرُونَ

Wa-itha thukkiroo la yathkuroon

Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.

37:14

وَإِذَا رَأَوْا۟ ءَايَةً يَسْتَسْخِرُونَ

Wa-itha raaw ayatanyastaskhiroon

Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.

37:15

وَقَالُوٓا۟ إِنْ هَـٰذَآ إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ

Waqaloo in hatha illasihrun mubeen

Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.

37:16

أَءِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَـٰمًا أَءِنَّا لَمَبْعُوثُونَ

A-itha mitna wakunnaturaban waAAithaman a-innalamabAAoothoon

Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?

37:17

أَوَءَابَآؤُنَا ٱلْأَوَّلُونَ

Awa abaona al-awwaloon

Hata baba zetu wa zamani?

37:18

قُلْ نَعَمْ وَأَنتُمْ دَٰخِرُونَ

Qul naAAam waantum dakhiroon

Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.

37:19

فَإِنَّمَا هِىَ زَجْرَةٌ وَٰحِدَةٌ فَإِذَا هُمْ يَنظُرُونَ

Fa-innama hiya zajratun wahidatunfa-itha hum yanthuroon

Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!

37:20

وَقَالُوا۟ يَـٰوَيْلَنَا هَـٰذَا يَوْمُ ٱلدِّينِ

Waqaloo ya waylana hathayawmu addeen

Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.

37:21

هَـٰذَا يَوْمُ ٱلْفَصْلِ ٱلَّذِى كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ

Hatha yawmu alfasli allatheekuntum bihi tukaththiboon

Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.

37:22

۞ ٱحْشُرُوا۟ ٱلَّذِينَ ظَلَمُوا۟ وَأَزْوَٰجَهُمْ وَمَا كَانُوا۟ يَعْبُدُونَ

Ohshuroo allatheena thalamoowaazwajahum wama kanoo yaAAbudoon

Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -

37:23

مِن دُونِ ٱللَّهِ فَٱهْدُوهُمْ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلْجَحِيمِ

Min dooni Allahi fahdoohum ilasirati aljaheem

Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!

37:24

وَقِفُوهُمْ ۖ إِنَّهُم مَّسْـُٔولُونَ

Waqifoohum innahum masooloon

Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:

37:25

مَا لَكُمْ لَا تَنَاصَرُونَ

Ma lakum la tanasaroon

Mna nini? Mbona hamsaidiani?

37:26

بَلْ هُمُ ٱلْيَوْمَ مُسْتَسْلِمُونَ

Bal humu alyawma mustaslimoon

Bali hii leo, watasalimu amri.

37:27

وَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَآءَلُونَ

Waaqbala baAAduhum AAala baAAdinyatasaaloon

Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.

37:28

قَالُوٓا۟ إِنَّكُمْ كُنتُمْ تَأْتُونَنَا عَنِ ٱلْيَمِينِ

Qaloo innakum kuntum ta/toonanaAAani alyameen

Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.

37:29

قَالُوا۟ بَل لَّمْ تَكُونُوا۟ مُؤْمِنِينَ

Qaloo bal lam takoonoo mu/mineen

Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.

37:30

وَمَا كَانَ لَنَا عَلَيْكُم مِّن سُلْطَـٰنٍۭ ۖ بَلْ كُنتُمْ قَوْمًا طَـٰغِينَ

Wama kana lanaAAalaykum min sultanin bal kuntum qawman tagheen

Sisi hatukuwa na mamlaka juu yenu, bali nyinyi wenyewe mlikuwa wapotovu.

37:31

فَحَقَّ عَلَيْنَا قَوْلُ رَبِّنَآ ۖ إِنَّا لَذَآئِقُونَ

Fahaqqa AAalayna qawlu rabbinainna latha-iqoon

Basi hukumu ya Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu.

37:32

فَأَغْوَيْنَـٰكُمْ إِنَّا كُنَّا غَـٰوِينَ

Faaghwaynakum inna kunnaghaween

Tulikupotezeni kwa sababu sisi wenyewe tulikuwa wapotovu.

37:33

فَإِنَّهُمْ يَوْمَئِذٍ فِى ٱلْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ

Fa-innahum yawma-ithin fee alAAathabimushtarikoon

Basi wao kwa hakika siku hiyo watashirikiana katika adhabu pamoja.

37:34

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِٱلْمُجْرِمِينَ

Inna kathalika nafAAalu bilmujrimeen

Hivyo ndivyo tutakavyo wafanyia wakosefu.

37:35

إِنَّهُمْ كَانُوٓا۟ إِذَا قِيلَ لَهُمْ لَآ إِلَـٰهَ إِلَّا ٱللَّهُ يَسْتَكْبِرُونَ

Innahum kanoo itha qeela lahumla ilaha illa Allahu yastakbiroon

Wao walipo kuwa wakiambiwa La ilaha illa 'Llahu Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu tu, wakijivuna.

37:36

وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُوٓا۟ ءَالِهَتِنَا لِشَاعِرٍ مَّجْنُونٍۭ

Wayaqooloona a-inna latarikoo alihatinalishaAAirin majnoon

Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?

37:37

بَلْ جَآءَ بِٱلْحَقِّ وَصَدَّقَ ٱلْمُرْسَلِينَ

Bal jaa bilhaqqi wasaddaqaalmursaleen

Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.

37:38

إِنَّكُمْ لَذَآئِقُوا۟ ٱلْعَذَابِ ٱلْأَلِيمِ

Innakum latha-iqoo alAAathabial-aleem

Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.

37:39

وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ

Wama tujzawna illa makuntum taAAmaloon

Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.

37:40

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلْمُخْلَصِينَ

Illa AAibada Allahialmukhlaseen

Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.

37:41

أُو۟لَـٰٓئِكَ لَهُمْ رِزْقٌ مَّعْلُومٌ

Ola-ika lahum rizqun maAAloom

Hao ndio watakao pata riziki maalumu,

37:42

فَوَٰكِهُ ۖ وَهُم مُّكْرَمُونَ

Fawakihu wahum mukramoon

Matunda, nao watahishimiwa.

37:43

فِى جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ

Fee jannati annaAAeem

Katika Bustani za neema.

37:44

عَلَىٰ سُرُرٍ مُّتَقَـٰبِلِينَ

AAala sururin mutaqabileen

Wako juu ya viti wamekabiliana.

37:45

يُطَافُ عَلَيْهِم بِكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍۭ

Yutafu AAalayhim bika/sin min maAAeen

Wanazungushiwa kikombe chenye kinywaji cha chemchem

37:46

بَيْضَآءَ لَذَّةٍ لِّلشَّـٰرِبِينَ

Baydaa laththatin lishsharibeen

Kinywaji cheupe, kitamu kwa wanywao.

37:47

لَا فِيهَا غَوْلٌ وَلَا هُمْ عَنْهَا يُنزَفُونَ

La feeha ghawlun walahum AAanha yunzafoon

Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.

37:48

وَعِندَهُمْ قَـٰصِرَٰتُ ٱلطَّرْفِ عِينٌ

WaAAindahum qasiratu attarfiAAeen

Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.

37:49

كَأَنَّهُنَّ بَيْضٌ مَّكْنُونٌ

Kaannahunna baydun maknoon

Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.

37:50

فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَآءَلُونَ

Faaqbala baAAduhum AAala baAAdinyatasaaloon

Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.

37:51

قَالَ قَآئِلٌ مِّنْهُمْ إِنِّى كَانَ لِى قَرِينٌ

Qala qa-ilun minhum innee kanalee qareen

Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki

37:52

يَقُولُ أَءِنَّكَ لَمِنَ ٱلْمُصَدِّقِينَ

Yaqoolu a-innaka lamina almusaddiqeen

Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki

37:53

أَءِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَـٰمًا أَءِنَّا لَمَدِينُونَ

A-itha mitna wakunnaturaban waAAithaman a-innalamadeenoon

Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?

37:54

قَالَ هَلْ أَنتُم مُّطَّلِعُونَ

Qala hal antum muttaliAAoon

Atasema: Je! Nyie mnawaona?

37:55

فَٱطَّلَعَ فَرَءَاهُ فِى سَوَآءِ ٱلْجَحِيمِ

FattalaAAa faraahu feesawa-i aljaheem

Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.

37:56

قَالَ تَٱللَّهِ إِن كِدتَّ لَتُرْدِينِ

Qala tallahi in kidtalaturdeen

Atasema: Wallahi! Ulikaribia kunipoteza.

37:57

وَلَوْلَا نِعْمَةُ رَبِّى لَكُنتُ مِنَ ٱلْمُحْضَرِينَ

Walawla niAAmatu rabbee lakuntu minaalmuhdareen

Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni mwa walio hudhurishwa.

37:58

أَفَمَا نَحْنُ بِمَيِّتِينَ

Afama nahnu bimayyiteen

Je! Sisi hatutakufa,

37:59

إِلَّا مَوْتَتَنَا ٱلْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ

Illa mawtatana al-oolawama nahnu bimuAAaththabeen

Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.

37:60

إِنَّ هَـٰذَا لَهُوَ ٱلْفَوْزُ ٱلْعَظِيمُ

Inna hatha lahuwa alfawzu alAAatheem

Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.

37:61

لِمِثْلِ هَـٰذَا فَلْيَعْمَلِ ٱلْعَـٰمِلُونَ

Limithli hatha falyaAAmali alAAamiloon

Kwa mfano wa haya nawatende watendao.

37:62

أَذَٰلِكَ خَيْرٌ نُّزُلًا أَمْ شَجَرَةُ ٱلزَّقُّومِ

Athalika khayrun nuzulan am shajaratuazzaqqoom

Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?

37:63

إِنَّا جَعَلْنَـٰهَا فِتْنَةً لِّلظَّـٰلِمِينَ

Inna jaAAalnahafitnatan liththalimeen

Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.

37:64

إِنَّهَا شَجَرَةٌ تَخْرُجُ فِىٓ أَصْلِ ٱلْجَحِيمِ

Innaha shajaratun takhruju fee aslialjaheem

Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.

37:65

طَلْعُهَا كَأَنَّهُۥ رُءُوسُ ٱلشَّيَـٰطِينِ

TalAAuha kaannahu ruoosu ashshayateen

Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.

37:66

فَإِنَّهُمْ لَـَٔاكِلُونَ مِنْهَا فَمَالِـُٔونَ مِنْهَا ٱلْبُطُونَ

Fa-innahum laakiloona minhafamali-oona minha albutoon

Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.

37:67

ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ

Thumma inna lahum AAalayha lashawbanmin hameem

Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.

37:68

ثُمَّ إِنَّ مَرْجِعَهُمْ لَإِلَى ٱلْجَحِيمِ

Thumma inna marjiAAahum la-ila aljaheem

Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.

37:69

إِنَّهُمْ أَلْفَوْا۟ ءَابَآءَهُمْ ضَآلِّينَ

Innahum alfaw abaahum dalleen

Hakika waliwakuta baba zao wamepotea.

37:70

فَهُمْ عَلَىٰٓ ءَاثَـٰرِهِمْ يُهْرَعُونَ

Fahum AAala atharihimyuhraAAoon

Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.

37:71

وَلَقَدْ ضَلَّ قَبْلَهُمْ أَكْثَرُ ٱلْأَوَّلِينَ

Walaqad dalla qablahum aktharual-awwaleen

Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.

37:72

وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا فِيهِم مُّنذِرِينَ

Walaqad arsalna feehim munthireen

Na Sisi hakika tuliwapelekea waonyaji.

37:73

فَٱنظُرْ كَيْفَ كَانَ عَـٰقِبَةُ ٱلْمُنذَرِينَ

Fanthur kayfa kanaAAaqibatu almunthareen

Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa walio onywa.

37:74

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلْمُخْلَصِينَ

Illa AAibada Allahialmukhlaseen

Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.

37:75

وَلَقَدْ نَادَىٰنَا نُوحٌ فَلَنِعْمَ ٱلْمُجِيبُونَ

Walaqad nadana noohunfalaniAAma almujeeboon

Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.

37:76

وَنَجَّيْنَـٰهُ وَأَهْلَهُۥ مِنَ ٱلْكَرْبِ ٱلْعَظِيمِ

Wanajjaynahu waahlahu mina alkarbialAAatheem

Na tulimwokoa yeye na ahali zake kutokana na msiba mkubwa.

37:77

وَجَعَلْنَا ذُرِّيَّتَهُۥ هُمُ ٱلْبَاقِينَ

WajaAAalna thurriyyatahu humualbaqeen

Na tuliwajaalia dhuriya zake ndio wenye kubakia.

37:78

وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِى ٱلْـَٔاخِرِينَ

Watarakna AAalayhi fee al-akhireen

Na tukamwachia (sifa njema) kwa walio kuja baadaye.

37:79

سَلَـٰمٌ عَلَىٰ نُوحٍ فِى ٱلْعَـٰلَمِينَ

Salamun AAala noohinfee alAAalameen

Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!

37:80

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِى ٱلْمُحْسِنِينَ

Inna kathalika najzee almuhsineen

Kwa hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

37:81

إِنَّهُۥ مِنْ عِبَادِنَا ٱلْمُؤْمِنِينَ

Innahu min AAibadinaalmu/mineen

Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.

37:82

ثُمَّ أَغْرَقْنَا ٱلْـَٔاخَرِينَ

Thumma aghraqna al-akhareen

Kisha tukawazamisha wale wengine.

37:83

۞ وَإِنَّ مِن شِيعَتِهِۦ لَإِبْرَٰهِيمَ

Wa-inna min sheeAAatihi la-ibraheem

Na hakika Ibrahim alikuwa katika kundi lake,

37:84

إِذْ جَآءَ رَبَّهُۥ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ

Ith jaa rabbahu biqalbinsaleem

Alipo mjia Mola wake Mlezi kwa moyo mzima.

37:85

إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِۦ مَاذَا تَعْبُدُونَ

Ith qala li-abeehi waqawmihi mathataAAbudoon

Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?

37:86

أَئِفْكًا ءَالِهَةً دُونَ ٱللَّهِ تُرِيدُونَ

A-ifkan alihatan doona Allahitureedoon

Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?

37:87

فَمَا ظَنُّكُم بِرَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Fama thannukum birabbialAAalameen

Mnamdhania nini Mola Mlezi wa walimwengu wote?

37:88

فَنَظَرَ نَظْرَةً فِى ٱلنُّجُومِ

Fanathara nathratanfee annujoom

Kisha akapiga jicho kutazama nyota.

37:89

فَقَالَ إِنِّى سَقِيمٌ

Faqala innee saqeem

Akasema: Hakika mimi ni mgonjwa!

37:90

فَتَوَلَّوْا۟ عَنْهُ مُدْبِرِينَ

Fatawallaw AAanhu mudbireen

Nao wakamwacha, wakampa kisogo.

37:91

فَرَاغَ إِلَىٰٓ ءَالِهَتِهِمْ فَقَالَ أَلَا تَأْكُلُونَ

Faragha ila alihatihimfaqala ala ta/kuloon

Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?

37:92

مَا لَكُمْ لَا تَنطِقُونَ

Ma lakum la tantiqoon

Mna nini hata hamsemi?

37:93

فَرَاغَ عَلَيْهِمْ ضَرْبًۢا بِٱلْيَمِينِ

Faragha AAalayhim darban bilyameen

Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.

37:94

فَأَقْبَلُوٓا۟ إِلَيْهِ يَزِفُّونَ

Faaqbaloo ilayhi yaziffoon

Basi wakamjia upesi upesi.

37:95

قَالَ أَتَعْبُدُونَ مَا تَنْحِتُونَ

Qala ataAAbudoona ma tanhitoon

Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?

37:96

وَٱللَّهُ خَلَقَكُمْ وَمَا تَعْمَلُونَ

Wallahu khalaqakum wamataAAmaloon

Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!

37:97

قَالُوا۟ ٱبْنُوا۟ لَهُۥ بُنْيَـٰنًا فَأَلْقُوهُ فِى ٱلْجَحِيمِ

Qaloo ibnoo lahu bunyananfaalqoohu fee aljaheem

Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!

37:98

فَأَرَادُوا۟ بِهِۦ كَيْدًا فَجَعَلْنَـٰهُمُ ٱلْأَسْفَلِينَ

Faaradoo bihi kaydan fajaAAalnahumual-asfaleen

Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.

37:99

وَقَالَ إِنِّى ذَاهِبٌ إِلَىٰ رَبِّى سَيَهْدِينِ

Waqala innee thahibun ilarabbee sayahdeen

Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.

37:100

رَبِّ هَبْ لِى مِنَ ٱلصَّـٰلِحِينَ

Rabbi hablee mina assaliheen

Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.

37:101

فَبَشَّرْنَـٰهُ بِغُلَـٰمٍ حَلِيمٍ

Fabashsharnahu bighulamin haleem

Basi tukambashiria mwana aliye mpole.

37:102

فَلَمَّا بَلَغَ مَعَهُ ٱلسَّعْىَ قَالَ يَـٰبُنَىَّ إِنِّىٓ أَرَىٰ فِى ٱلْمَنَامِ أَنِّىٓ أَذْبَحُكَ فَٱنظُرْ مَاذَا تَرَىٰ ۚ قَالَ يَـٰٓأَبَتِ ٱفْعَلْ مَا تُؤْمَرُ ۖ سَتَجِدُنِىٓ إِن شَآءَ ٱللَّهُ مِنَ ٱلصَّـٰبِرِينَ

Falamma balagha maAAahu assaAAyaqala ya bunayya innee ara fee almanamiannee athbahuka fanthur mathatara qala ya abati ifAAal ma tu/marusatajidunee in shaa Allahu mina assabireen

Basi alipo fika makamo ya kwenda na kurudi pamoja naye, alimwambia: Ewe mwanangu! Hakika mimi nimeona usingizini kuwa ninakuchinja. Basi angalia wewe, waonaje? Akasema: Ewe baba yangu! Tenda unavyo amrishwa, utanikuta mimi, Inshallah, katika wanao subiri.

37:103

فَلَمَّآ أَسْلَمَا وَتَلَّهُۥ لِلْجَبِينِ

Falamma aslama watallahuliljabeen

Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.

37:104

وَنَـٰدَيْنَـٰهُ أَن يَـٰٓإِبْرَٰهِيمُ

Wanadaynahu an ya ibraheem

Tulimwita: Ewe Ibrahim!

37:105

قَدْ صَدَّقْتَ ٱلرُّءْيَآ ۚ إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِى ٱلْمُحْسِنِينَ

Qad saddaqta arru/yainna kathalika najzee almuhsineen

Umekwisha itimiliza ndoto. Hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao tenda mema.

37:106

إِنَّ هَـٰذَا لَهُوَ ٱلْبَلَـٰٓؤُا۟ ٱلْمُبِينُ

Inna hatha lahuwa albalaoalmubeen

Hakika haya ni majaribio yaliyo dhaahiri.

37:107

وَفَدَيْنَـٰهُ بِذِبْحٍ عَظِيمٍ

Wafadaynahu bithibhinAAatheem

Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.

37:108

وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِى ٱلْـَٔاخِرِينَ

Watarakna AAalayhi fee al-akhireen

Na tukamwachia (sifa njema) kwa watu walio kuja baadaye.

37:109

سَلَـٰمٌ عَلَىٰٓ إِبْرَٰهِيمَ

Salamun AAala ibraheem

Iwe salama kwa Ibrahim!

37:110

كَذَٰلِكَ نَجْزِى ٱلْمُحْسِنِينَ

Kathalika najzee almuhsineen

Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

37:111

إِنَّهُۥ مِنْ عِبَادِنَا ٱلْمُؤْمِنِينَ

Innahu min AAibadinaalmu/mineen

Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.

37:112

وَبَشَّرْنَـٰهُ بِإِسْحَـٰقَ نَبِيًّا مِّنَ ٱلصَّـٰلِحِينَ

Wabashsharnahu bi-ishaqanabiyyan mina assaliheen

Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.

37:113

وَبَـٰرَكْنَا عَلَيْهِ وَعَلَىٰٓ إِسْحَـٰقَ ۚ وَمِن ذُرِّيَّتِهِمَا مُحْسِنٌ وَظَالِمٌ لِّنَفْسِهِۦ مُبِينٌ

Wabarakna AAalayhi waAAalaishaqa wamin thurriyyatihima muhsinunwathalimun linafsihi mubeen

Na tukambarikia yeye na Is-haqa. Na miongoni mwa dhuriya zao walitokea wema na wenye kudhulumu nafsi zao waziwazi.

37:114

وَلَقَدْ مَنَنَّا عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَـٰرُونَ

Walaqad mananna AAala moosawaharoon

Na kwa hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni.

37:115

وَنَجَّيْنَـٰهُمَا وَقَوْمَهُمَا مِنَ ٱلْكَرْبِ ٱلْعَظِيمِ

Wanajjaynahuma waqawmahumamina alkarbi alAAatheem

Na tukawaokoa wao na watu wao kutokana na dhiki kubwa.

37:116

وَنَصَرْنَـٰهُمْ فَكَانُوا۟ هُمُ ٱلْغَـٰلِبِينَ

Wanasarnahum fakanoohumu alghalibeen

Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.

37:117

وَءَاتَيْنَـٰهُمَا ٱلْكِتَـٰبَ ٱلْمُسْتَبِينَ

Waataynahuma alkitabaalmustabeen

Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.

37:118

وَهَدَيْنَـٰهُمَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلْمُسْتَقِيمَ

Wahadaynahuma assirataalmustaqeem

Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.

37:119

وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِى ٱلْـَٔاخِرِينَ

Watarakna AAalayhima fee al-akhireen

Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.

37:120

سَلَـٰمٌ عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَـٰرُونَ

Salamun AAala moosawaharoon

Iwe salama kwa Musa na Haruni!

37:121

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِى ٱلْمُحْسِنِينَ

Inna kathalika najzee almuhsineen

Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.

37:122

إِنَّهُمَا مِنْ عِبَادِنَا ٱلْمُؤْمِنِينَ

Innahuma min AAibadinaalmu/mineen

Hakika wawili hao ni katika waja wetu walio amini.

37:123

وَإِنَّ إِلْيَاسَ لَمِنَ ٱلْمُرْسَلِينَ

Wa-inna ilyasa lamina almursaleen

Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.

37:124

إِذْ قَالَ لِقَوْمِهِۦٓ أَلَا تَتَّقُونَ

Ith qala liqawmihi alatattaqoon

Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?

37:125

أَتَدْعُونَ بَعْلًا وَتَذَرُونَ أَحْسَنَ ٱلْخَـٰلِقِينَ

AtadAAoona baAAlan watatharoona ahsanaalkhaliqeen

Mnamwomba Baa'li na mnamwacha Mbora wa waumbaji,

37:126

ٱللَّهَ رَبَّكُمْ وَرَبَّ ءَابَآئِكُمُ ٱلْأَوَّلِينَ

Allaha rabbakum warabba aba-ikumual-awwaleen

Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa zamani?

37:127

فَكَذَّبُوهُ فَإِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ

Fakaththaboohu fa-innahum lamuhdaroon

Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;

37:128

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلْمُخْلَصِينَ

Illa AAibada Allahialmukhlaseen

Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

37:129

وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِى ٱلْـَٔاخِرِينَ

Watarakna AAalayhi fee al-akhireen

Na tumemwachia (sifa nzuri) kwa walio kuja baadaye.

37:130

سَلَـٰمٌ عَلَىٰٓ إِلْ يَاسِينَ

Salamun AAala il yaseen

Iwe salama kwa Ilyas.

37:131

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِى ٱلْمُحْسِنِينَ

Inna kathalika najzee almuhsineen

Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.

37:132

إِنَّهُۥ مِنْ عِبَادِنَا ٱلْمُؤْمِنِينَ

Innahu min AAibadinaalmu/mineen

Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.

37:133

وَإِنَّ لُوطًا لَّمِنَ ٱلْمُرْسَلِينَ

Wa-inna lootan lamina almursaleen

Na hakika Lut'i bila ya shaka ni miongoni mwa Mitume.

37:134

إِذْ نَجَّيْنَـٰهُ وَأَهْلَهُۥٓ أَجْمَعِينَ

Ith najjaynahu waahlahuajmaAAeen

Tulipo mwokoa yeye na ahali zake wote,

37:135

إِلَّا عَجُوزًا فِى ٱلْغَـٰبِرِينَ

Illa AAajoozan fee alghabireen

Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.

37:136

ثُمَّ دَمَّرْنَا ٱلْـَٔاخَرِينَ

Thumma dammarna al-akhareen

Kisha tukawaangamiza wale wengineo.

37:137

وَإِنَّكُمْ لَتَمُرُّونَ عَلَيْهِم مُّصْبِحِينَ

Wa-innakum latamurroona AAalayhim musbiheen

Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,

37:138

وَبِٱلَّيْلِ ۗ أَفَلَا تَعْقِلُونَ

Wabillayli afala taAAqiloon

Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?

37:139

وَإِنَّ يُونُسَ لَمِنَ ٱلْمُرْسَلِينَ

Wa-inna yoonusa lamina almursaleen

Na hakika Yunus alikuwa miongoni mwa Mitume.

37:140

إِذْ أَبَقَ إِلَى ٱلْفُلْكِ ٱلْمَشْحُونِ

Ith abaqa ila alfulki almashhoon

Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.

37:141

فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ ٱلْمُدْحَضِينَ

Fasahama fakana mina almudhadeen

Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.

37:142

فَٱلْتَقَمَهُ ٱلْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ

Faltaqamahu alhootu wahuwamuleem

Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.

37:143

فَلَوْلَآ أَنَّهُۥ كَانَ مِنَ ٱلْمُسَبِّحِينَ

Falawla annahu kana minaalmusabbiheen

Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,

37:144

لَلَبِثَ فِى بَطْنِهِۦٓ إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ

Lalabitha fee batnihi ilayawmi yubAAathoon

Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.

37:145

۞ فَنَبَذْنَـٰهُ بِٱلْعَرَآءِ وَهُوَ سَقِيمٌ

Fanabathnahu bilAAara-iwahuwa saqeem

Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.

37:146

وَأَنۢبَتْنَا عَلَيْهِ شَجَرَةً مِّن يَقْطِينٍ

Waanbatna AAalayhi shajaratan minyaqteen

Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.

37:147

وَأَرْسَلْنَـٰهُ إِلَىٰ مِا۟ئَةِ أَلْفٍ أَوْ يَزِيدُونَ

Waarsalnahu ila mi-ati alfinaw yazeedoon

Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.

37:148

فَـَٔامَنُوا۟ فَمَتَّعْنَـٰهُمْ إِلَىٰ حِينٍ

Faamanoo famattaAAnahum ilaheen

Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.

37:149

فَٱسْتَفْتِهِمْ أَلِرَبِّكَ ٱلْبَنَاتُ وَلَهُمُ ٱلْبَنُونَ

Fastaftihim alirabbika albanatuwalahumu albanoon

Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto wa kiume?

37:150

أَمْ خَلَقْنَا ٱلْمَلَـٰٓئِكَةَ إِنَـٰثًا وَهُمْ شَـٰهِدُونَ

Am khalaqna almala-ikata inathanwahum shahidoon

Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?

37:151

أَلَآ إِنَّهُم مِّنْ إِفْكِهِمْ لَيَقُولُونَ

Ala innahum min ifkihim layaqooloon

Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:

37:152

وَلَدَ ٱللَّهُ وَإِنَّهُمْ لَكَـٰذِبُونَ

Walada Allahu wa-innahum lakathiboon

Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!

37:153

أَصْطَفَى ٱلْبَنَاتِ عَلَى ٱلْبَنِينَ

Astafa albanati AAalaalbaneen

Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?

37:154

مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ

Ma lakum kayfa tahkumoon

Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi?

37:155

أَفَلَا تَذَكَّرُونَ

Afala tathakkaroon

Hamkumbuki?

37:156

أَمْ لَكُمْ سُلْطَـٰنٌ مُّبِينٌ

Am lakum sultanun mubeen

Au mnayo hoja iliyo wazi?

37:157

فَأْتُوا۟ بِكِتَـٰبِكُمْ إِن كُنتُمْ صَـٰدِقِينَ

Fa/too bikitabikum in kuntum sadiqeen

Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.

37:158

وَجَعَلُوا۟ بَيْنَهُۥ وَبَيْنَ ٱلْجِنَّةِ نَسَبًا ۚ وَلَقَدْ عَلِمَتِ ٱلْجِنَّةُ إِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ

WajaAAaloo baynahu wabayna aljinnatinasaban walaqad AAalimati aljinnatu innahum lamuhdaroon

Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.

37:159

سُبْحَـٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ

Subhana Allahi AAammayasifoon

Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.

37:160

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلْمُخْلَصِينَ

Illa AAibada Allahialmukhlaseen

Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

37:161

فَإِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ

Fa-innakum wama taAAbudoon

Basi hakika nyinyi na mnao waabudu

37:162

مَآ أَنتُمْ عَلَيْهِ بِفَـٰتِنِينَ

Ma antum AAalayhi bifatineen

Hamwezi kuwapoteza

37:163

إِلَّا مَنْ هُوَ صَالِ ٱلْجَحِيمِ

Illa man huwa sali aljaheem

Isipo kuwa yule atakaye ingia Motoni.

37:164

وَمَا مِنَّآ إِلَّا لَهُۥ مَقَامٌ مَّعْلُومٌ

Wama minna illa lahumaqamun maAAloom

Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.

37:165

وَإِنَّا لَنَحْنُ ٱلصَّآفُّونَ

Wa-inna lanahnu assaffoon

Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.

37:166

وَإِنَّا لَنَحْنُ ٱلْمُسَبِّحُونَ

Wa-inna lanahnu almusabbihoon

Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.

37:167

وَإِن كَانُوا۟ لَيَقُولُونَ

Wa-in kanoo layaqooloon

Na walikuwapo walio kuwa wakisema:

37:168

لَوْ أَنَّ عِندَنَا ذِكْرًا مِّنَ ٱلْأَوَّلِينَ

Law anna AAindana thikranmina al-awwaleen

Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,

37:169

لَكُنَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلْمُخْلَصِينَ

Lakunna AAibada Allahialmukhlaseen

Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Mwenyezi Mungu wenye ikhlasi.

37:170

فَكَفَرُوا۟ بِهِۦ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ

Fakafaroo bihi fasawfa yaAAlamoon

Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.

37:171

وَلَقَدْ سَبَقَتْ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا ٱلْمُرْسَلِينَ

Walaqad sabaqat kalimatuna liAAibadinaalmursaleen

Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.

37:172

إِنَّهُمْ لَهُمُ ٱلْمَنصُورُونَ

Innahum lahumu almansooroon

Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa.

37:173

وَإِنَّ جُندَنَا لَهُمُ ٱلْغَـٰلِبُونَ

Wa-inna jundana lahumu alghaliboon

Na kwamba jeshi letu ndilo litakalo shinda.

37:174

فَتَوَلَّ عَنْهُمْ حَتَّىٰ حِينٍ

Fatawalla AAanhum hatta heen

Basi waachilie mbali kwa muda.

37:175

وَأَبْصِرْهُمْ فَسَوْفَ يُبْصِرُونَ

Waabsirhum fasawfa yubsiroon

Na watazame, nao wataona.

37:176

أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ

AfabiAAathabina yastaAAjiloon

Je! Wanaihimiza adhabu yetu?

37:177

فَإِذَا نَزَلَ بِسَاحَتِهِمْ فَسَآءَ صَبَاحُ ٱلْمُنذَرِينَ

Fa-itha nazala bisahatihimfasaa sabahu almunthareen

Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.

37:178

وَتَوَلَّ عَنْهُمْ حَتَّىٰ حِينٍ

Watawalla AAanhum hatta heen

Na waache kwa muda.

37:179

وَأَبْصِرْ فَسَوْفَ يُبْصِرُونَ

Waabsir fasawfa yubsiroon

Na tazama, na wao wataona.

37:180

سُبْحَـٰنَ رَبِّكَ رَبِّ ٱلْعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ

Subhana rabbika rabbi alAAizzatiAAamma yasifoon

Subhana Rabbi'l'Izzat Ametakasika Mola Mlezi Mwenye enzi na yale wanayo mzulia.

37:181

وَسَلَـٰمٌ عَلَى ٱلْمُرْسَلِينَ

Wasalamun AAala almursaleen

Na Salamu juu ya Mitume.

37:182

وَٱلْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ

Walhamdu lillahirabbi alAAalameen

Na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote.