وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ
Waylun likulli humazatin lumaza
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
The Traducer
وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ
Waylun likulli humazatin lumaza
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
ٱلَّذِى جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُۥ
Allathee jamaAAa malanwaAAaddadah
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخْلَدَهُۥ
Yahsabu anna malahu akhladah
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
كَلَّا ۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِى ٱلْحُطَمَةِ
Kalla layunbathanna fee alhutama
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْحُطَمَةُ
Wama adraka ma alhutama
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
نَارُ ٱللَّهِ ٱلْمُوقَدَةُ
Naru Allahi almooqada
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
ٱلَّتِى تَطَّلِعُ عَلَى ٱلْأَفْـِٔدَةِ
Allatee tattaliAAu AAalaal-af-ida
Ambao unapanda nyoyoni.
إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌ
lnnaha AAalayhim mu/sada
Hakika huo utafungiwa nao
فِى عَمَدٍ مُّمَدَّدَةٍۭ
Fee AAamadin mumaddada
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.